Rais Magufuli aliwahi kuhojiwa na Chombo cha Habari?

aliyekuambia kuwa Magufuli hakujua kiingereza ni nani?
Mwanafunzi wa UDSM wa miaka ile aache kujua lugha ya malkia
Acha uzwazwa wewe kima.


Magufuli mwenyewe akiwa Iringa alisema kusoma sio kujua kiingereza. Hii ilitokana na yeye kuwa shallow kwenye hiyo lugha
 
Alikukashifu. Halafu kama njaa siyo tusi basi hata ukiitwa humu utulie tuu.
Neno njaa sio tusi, ila ikilitumia kumtukania mtu au kumkashifu ndio kumtukana, na sio kila kutukana ni kutukana matusi, kutukana kungine ni matukano tuu na sio tusi. Mimi kukashifiwa humu na kutukanwa njaa, wala hakunisumbui kabisa!.
P
 
Reactions: Auz
Jamani jamani, mbona jamaa alikuwa antema ng'eng'e Safi tu, mpaka kapata PhD na kiswahili ndio usiseme mbona mnamchukia Sana huyu jamaa?
 
Hakuelewa Dira Taifa ndio Mana akageuka Hittler wa Taifa baada ya ahadi zake Nyingi za Kampeni kuota Mbawa


na Siasa Yenyewe alidandia tu..
Kwa Tanzania ya ajabu ajabu iliyoachwa na Kikwete , tulitakiwa tupate marais kama Magufuli kwa awamu tatu mfululizo ili watanzania mliozoea ku fake maisha muishi kwenye uhalisia wenu
 
Kwa Tanzania ya ajabu ajabu iliyoachwa na Kikwete , tulitakiwa tupate marais kama Magufuli kwa awamu tatu mfululizo ili watanzania mliozoea ku fake maisha muishi kwenye uhalisia wenu
Tulipigwa pale hapakuwa na kiongozi hizi sio zama za kuongeza kwa mkono wa chuma...
 
Tulia kenge wewe
Hilo lizee lilikua lishetan
Kunywa sumu ufe na wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nyie mbwa mnahangaika kama mashoga ya kikurya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…