Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

Mimi na shed light. Na usiishie kuniambia rais ana vyombo vingi. Nataka concrete evidence right here. Sio blah blah.
Sipingi kuwa hawez kutumika? But mna ushahid kuwa anatumika?
For the record tu Alikuwa DG wa NIMR.
A leader for ground team iliyokuwa ina conduct research. In their last reasearch waka conclude kulikuwa viashiria vya huu ugonjwa lakin haukuwa hatarishi by then.

If kumpinga. Mngekuja na research yenu ambayo inaipinga research yake. With concrete supportive evidence. Not politics.
Rais kasema alikuwa natumika! Ulitaka uletewe ushahidi gani? Upewe card reader yenye huo ushahidi au nini?

Nakuuliza tena huko kwenu kuna mgonjwa wa zika au hata ulisikia hata tetesi kwamba kuna zika sehemu flani?

Au nyie mnafikiri watanzania ni wajinga sana? Kwamba kwakuwa wewe unampinga magufuli basi kila mtu awe anabisha tu kila anachosema?
 
Hukumtaka, uliona hafai. Wenzio wakamwona anafaa, wewe kuendelea kupiga kelele, wenye akili watakushangaa.

Urais ni nafasi tu, haimaanishi una maamuzi yote dhidi ya binadamu wenzako. Huwezi kuzuia riziki ya watu wote, kwa vile tu wewe ni Rais.

Rais atosheke na adhabu aliyompa kwa kutumia madaraka yake. Asiende zaidi ya hapo. Hapo kawa tu Mkurugenzi wa taasisi ya UN. Siku ik8tokea huyo Mama akija kuwa Rais, si atachanganyikiwa kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Anachokionyesha magufuli ni dalili za kukosa utu na busara kama kiongozi.
 
Rais kasema alikuwa natumika! Ulitaka uletewe ushahidi gani? Upewe card reader yenye huo ushahidi au nini?

Nakuuliza tena huko kwenu kuna mgonjwa wa zika au hata ulisikia hata tetesi kwamba kuna zika sehemu flani?

Au nyie mnafikiri watanzania ni wajinga sana? Kwamba kwakuwa wewe unampinga magufuli basi kila mtu awe anabisha tu kila anachosema?
Tatizo ni uelewa wako mdogo. Hujui tofauti ya vimelea vya ugonjwa na ugonjwa. Taarifa ya utafiti ilisema kulionekana vimelea vya zika, haikusema kulikuwa na wagonjwa wa zika.

Kuonekana kwa vimelea kunaashiria potential ya kuja kupata wagonjwa, japo si lazima.

Hatuwezi hata kusema kama kumewahi kuwepo mgonjwa wagonjwa wa zika TZ au hapana, kwa sababu taasisi zetu za utafiti wa magonjwa ni duni sana. Tunashindwa kuchukua vipimo kwaajili ya kutambua maambukizi ya Covid 19, itakuwa zika ambayo haijawahi kutangazwa kuwa janga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais kasema alikuwa natumika! Ulitaka uletewe ushahidi gani? Upewe card reader yenye huo ushahidi au nini?

Nakuuliza tena huko kwenu kuna mgonjwa wa zika au hata ulisikia hata tetesi kwamba kuna zika sehemu flani?

Au nyie mnafikiri watanzania ni wajinga sana? Kwamba kwakuwa wewe unampinga magufuli basi kila mtu awe anabisha tu kila anachosema?
Mimi simpingi Magufuli. Bali napinga lies, propaganda. Binafsi ni anti-politics guy. I dont care zimetokea upande gani ni upande wa serikal au wa upinzani, i dont give an damn about it.

Pili if yes necessary ushahidi uwekwe in public. Kutaluwa hamna maana kama kafukuzwa na bado mshahid hamna.
Accusation pekee hazitoshi. Na kama kweli alikuwa anatumika. Angepelekwa mahakamani? Why yuko huru? hakuna hata jalada lililofunguliwa na jamhuri kuhusu yeye?

Tatu huenda ninapotoka hakukuwa na zika. But is childish question to be asked. Scientifical research dont based on individual observation, based on large number of peoples. And the result where there.

I trust professionalism yake.. although haikuwa kazi yake kutangaza.. but research yake ilikuja na majibu hayo.
So is there anybody mwenye research inayopinga majib ya research yake?
 
Rais kasema alikuwa natumika! Ulitaka uletewe ushahidi gani? Upewe card reader yenye huo ushahidi au nini?

Nakuuliza tena huko kwenu kuna mgonjwa wa zika au hata ulisikia hata tetesi kwamba kuna zika sehemu flani?

Au nyie mnafikiri watanzania ni wajinga sana? Kwamba kwakuwa wewe unampinga magufuli basi kila mtu awe anabisha tu kila anachosema?
Rais anachoongea ni porojo. Hakuna uthibitisho wowote wa kutumika. Tusikubali cheap politics. Cheap politics are for cheap minds but not for the clever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sintofahamu kubwa ikiwa ni kweli hao maelfu ni kweli wanakufa, au ndo power ya media zao kueneza propaganda. Ikumbukwe kua Trump alitangaza dawa ya korona baadaye ikaja kubainika ni uongo.

Wenzetu uchumi wao upo juu sana na hata sekta ya afya ipo juu kiufanisi, majanga kama hayo ya korona madhara yake hayawezi kua sawa na Africa. Huku africa hua tunaathiriwa zaidi kiakili kuliko kawaida, ndio maana thinking capacity yetu ina mashaka. Mfano mdogo ni huu wa vifo vya korona huko USA, je ni kweli?? Hakuna kilichonyuma ya pazia?
Acha uongo Rais hakuwai tangaza dawa ya corona bali alisema izo dawa za malaria zimeonekana kusaidia wagonjwa. Ndyo wakafanya utafiti/ test kwa wagonjjwa na ikagundulika kuwa si kweli hazisaidii. Ingekuwa ni Tanzania kwanza utafiti usingefannyika au report isingetoka endapo majibu yangekuwa tofaut na Rais. Na yeyote ambaye angeoinga angeambiwa anatumika na mabeberu.

Swali fikirishi, je nyungu inatibu CORONA?
Malimao na Tangawizi yanatibu corona?
Kujifukiza kunatibu corona?

Pia, Rejea kwenye Principal question. Wamarekani wamepata hofu gani baada ya kutangaziwa mwenendo wa Covid kila siku?
 
Ndio MUNGU hakumuacha.

Akapewa cheo cha Director general of the national institute for medical research.
Till now and then hakuna mwenye concrete evidence kuwa alikuwa anatumika.

Alitolewa tu ili mtu fulani afaidike kisiasa.
Kweli kabisa, na kama alivyowahi kusema yeye mwenyewe wa Tz sio wajinga hivyo !!
Na CAG huyu nae anatumika mbona kaibua madudu na uozo ule ule ?

Just too much lies after lies....ndo maana kila siku zinatumika nguvu nyingi kutafuta na lazimisha sifa...
Kama ni mazuri tutaona na kusifia....sio kwa kulazimisha.
Ona sasa mlivyokula pension funds huku lying ni makusanyo ya ndani. Phew...
 
Tatizo ni uelewa wako mdogo. Hujui tofauti ya vimelea vya ugonjwa na ugonjwa. Taarifa ya utafiti ilisema kulionekana vimelea vya zika, haikusema kulikuwa na wagonjwa wa zika.

Kuonekana kwa vimelea kunaashiria potential ya kuja kupata wagonjwa, japo si lazima..
Ilipaswa ashauriane na wakubwa zake nankuona cha kufanya! Siyo unakurupuka tu toka huko uliko unaitisha vyombo vya habari na kusema kuna Zika!

Hivi unajua athali ya ile tangazo la Mwele kiuchumi?
 
Mimi simpingi magufuli. Bali napinga lies, propaganda.
Binafsi ni anti-politics guy.
I dont care zimetokea upande gani.. ni upande wa serikal au wa upinzani ,i dont give an damn about it.

Pili if yes necessary ushahid uwekwe in public. Kutaluwa hamna maana kama kafukuzwa na bado mshahid hamna.
Accusation pekee hazitoshi. Na kama kweli alikuwa anatumika. Angepelekwa mahakamani? Why yuko huru? hakuna hata jalada lililofunguliwa na jamhuri kuhusu yeye?..
Aisee... Unataka ushahidi uwekwe public zaidi ya ule aliosema rais?
 
Aisee... Unataka ushahidi uwekwe public zaidi ya ule aliosema rais?
Hahaha alichosema mhe kinaweza kiwe kweli au uwongo. The fact ww mwenyewe huna uhakika na allegation yako against her.. why? Sababu huna evidence.

Kama kuna mwenye concrete evidence, leo hii huyu dada angekuwa gerezani. Instead akaachiwa tu.. mpaka anakula shavu ulaya.
Si kila anachosema mhe ni cha kweli. Akili ya kuambiwa changanya na zako.

Si kila kitu ni yes sir
 
Wakuu
Ubeberu na ukoloni mambo-leo upo si hapa Tz tu bali katika bara zima la Afrika. Hao watawala wetu wanaotuzuga na siasa zao wanatumikia mfumo huo wa ukoloni mambo-leo. Ni sawa na CEO hapa Afrika anayetumikia wamiliki wa multi national company yenye makao makuu nje. Ndio maana hao ma CEO walifuta somo la DS ili waweze kutuzuga na kutufanya tusahau ukweli huu. Hatulaumu wazungu kama mnavyopenda kusema. Tunalaani mfumo mzima ulio ndani na nje ya nchi - ni mfumo wa kimataifa.

Hilo halipingiki mkuu lakini solution sio kulaumu au kuitana majina.

Mwenyekiti Mao Dezong aliwaita majina mabaya hawa jamaa mpaka akafa lakini warithi wake wameinyanyua China mpaka kuwa taifa la pili kiuchumi duniani without much name calling.
 
Yes lakini kumbuka watoa lawama wengi ni aged above 50 yrs Hawa walisoma chini ya 80 s back Hadi 70 s,ndipo wanazuoni wa ujamaa kina Walter Rodney, Patrick lumumba huyu kada wa ccm Kenya,maprif wengi wazee wa UD Huwa upewa airtime tbc live kuwananga mabeberu sababu syllabus za...

Uko sawa mkuu. Tatizo la msingi bado ni elimu.
 
Anaamani na furaha tele. Yani ufukuzwe kazi kesho yake uteuliwe kwenye kazi nyingine, mshahara ni mara mbili ya uliokuwa ukipata. Then baada ya hapo unapewa na cheo. Mshahara mara 4 ya kazi ukiyotumbuluwa, kwanini usiwe na amani?
Mshahara mkubwa is not everything..Nchi yako au tuseme uongozi wa Nchi yako ukikuweka katika kundi la watu wanaohujumu Nchi ni Jambo baya mno...uombe yasikukute hayo
 
Back
Top Bottom