Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

Kilichomumiza Magufuli ni huyo Mama kupewa kazi WHO.

Alitaka akimfukuza ateseke
Siyo kweli sema watu wengi hasa waTanzania hua mnaacha faida za taifa kwa tamaa ndogo ndogo sana
 
CCM ya Magufuli ndiyo wanafuata hizo faida za taifa ?
Punguza upumbavu ndugu. We unadhani kila anayeona mema ya JPM ana chama cha siasa kama nyinyi mliokalia siasa bila kufikiri..wengine hatuna hivyo vyama lakini uhalisia tunauona
 
Punguza upumbavu ndugu. We unadhani kila anayeona mema ya JPM ana chama cha siasa kama nyinyi mliokalia siasa bila kufikiri..wengine hatuna hivyo vyama lakini uhalisia tunauona
Pumbavu mwenyewe
 
Siyo kweli sema watu wengi hasa waTanzania hua mnaacha faida za taifa kwa tamaa ndogo ndogo sana
Kubali ukatae, ukimtimua mkeo kwa sababu za kipuuzi halafu akapata mume tena mwenye maisha zaidi yako roho itauma tu

Pia Boss akimfukuza kazi mfanyakazi wake kwa sababu za kipuuzi na kwa kujigamba kumkomoa kisha huyo mfanyakazi akapata kazi nzuri kuliko hata ile ya Boss wa mwanzo na Boss akafahamu halafu akawa anamtolea mifano mibovu kwenye vikao na wafanyakazi wengine hilo ni jibu tosha kwamba huyo Boss alitamani aliyefukuzwa akahangaike mitaani

Kulikuwa na sababu gani ya kutengua uteuzi wake usiku wa saa tano? Kwani asubuhi ilikuwa haiwezi kufika? Na kwanini tangu 2016 hadi leo bado hajamtoka kwenye ulimi?
 
Siwezi kuendelea kujibizana na mtu mjinga na mpumbavu..pita hivi[emoji117] farasi jike we
Umekosa cha kujibu mpaka utumie matusi kwa mtu usiyemjua?

Haya nenda zako mbwa jike wewe
 


Rais Magufuli amenukuliwa akisema haya..

Wakati tunaingia madarakani tuliambiwa Tanzania kuna ugonjwa wa Zika, aliyetangaza na aliyetumiwa kutangaza nikamfukuza kazi (bahati mbaya ni Mgogo); Baada ya kumfukuza yule Mgogo aliyesema Tanzania kuna Zika na waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi, mpaka leo miaka karibu mitano hapajawahi kuwa na kesi hata moja ya Zika hapa Tanzania.

Baada ya uzushi wa Zika kupita na kumfukuza kazi aliyesema kuna ugonjwa huo, tukakaa baadaye tukaambiwa kuna Ebola, walijua wakisema tuna Ebola Watalii hawatokuja, tukasema sisi hatuna Ebola wala Mjukuu au hawara yake Ebola, hatujaona Ebola wala nani amekufa kwa Ebola hapa Tanzania.


Pia soma
1. Rais atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dkt. Mwele Malecela

2. Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

3. Safari itasonga Kwa msaada wa Mungu: Dr. Mwele Malecela

4. NIMR: Asilimia 45 ya watoto wachanga wakutwa na Virusi vya homa ya ZIKA Tanzania

We know what is behind the scenes, Acha uongo
 
Yaliyotangazwa ni matokeo ya utafiti, lakini unasoma mtu anaandika kana kwamba mkurugenzi wa taasisi alikaa maabara mwenyewe akatafiti kabla ya kutangaza. Unapohoji kama kuna mgonjwa wa zika, ni kuonyesha wazi huna uelewa au uko hapa kupotosha. Unasahau kwamba alipofukuzwa ilisemwa kosa lake ni kutofuata protocol za kutangaza. Unasahau kwamba utafiti uliofanywa haujawahi kupingwa.
 
Na kuna mwingine anatumiwa na Mabeberu yupo Ulaya kutaka kuharibu amani ya Nchi yetu
Kuna mwingine yule anayepoteza watu anataka awekewe kinga asishtakiwe. Huyu yuko hapa hapa Tz. Huyu atakuwa anatumiwa na nani!? Mabeberu au wazalendo uchwara!?
 
Porojo tu hizo. Alitaka akose kazi!? Yeye siye mtoa riziki. Aangalie asije kufa na kijiba cha roho.
 
Back
Top Bottom