Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Arudishe ndiyo,kwanza hapo ni ufisadi .Maana alipewa ili akagombee uenyekiti sijui.TASAF lengo lake ni kuwasaidia wanasiasa wagombee vyeo?Kwahiyo anatakiwa arudishe hiyo nauli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudishe ndiyo,kwanza hapo ni ufisadi .Maana alipewa ili akagombee uenyekiti sijui.TASAF lengo lake ni kuwasaidia wanasiasa wagombee vyeo?Kwahiyo anatakiwa arudishe hiyo nauli?
Kwani huko siasani hakuna wanyonge?Arudishe ndiyo,kwanza hapo ni ufisadi .Maana alipewa ili akagombee uenyekiti sijui.TASAF lengo lake ni kuwasaidia wanasiasa wagombee vyeo?
Sasa Rais ameshindwa kutumia vyombo vyake kujua ukweli mpaka aseme "kama"?Labda kwa sababu ya neno " kama umezitumia"!
Ni hivi hizo pesa za TASAF ni enzi ya Mkapa,Makonda alikuwa hohehahe hivyo akasaidiwa.Hizo pesa ilikuwa ni halali kwake kabisa ukilinganisha na mission za TASAF.Akipenda atarudisha tu maana kwa sasa ana uwezo.
Wakati Makonda anaongea,kabla ya Magu kuongea.Makonda alikuwa anaainisha umuhimu wa huo mfuko wa Tasaf,ndo akasema na yeye mfuko uliwahi msaidia nauli ya kwenda Dom.
Labda kwa sababu ya neno " kama umezitumia"!
Nilivyoelewa ni kuwa Makonda hana kosa kwa sababu alipewa na wahusika, hivyo utaratibu wa kugawa ulikuwa mbovu. Hakufanya uhalifu wowote, ila kwa sababu za kupenda kujitapa akajikuta anasema kuwa naye alifaidika (kitu ambacho ni kosa kwani fedha zilikuwa kwa sababu ya watu maskini na sidhani zilikuwa kwa lengo ya kusaidia watu kugombea nafasi za kisiasa). All in all Magufuli na Makonda wana siri kali sana ndiyo maana anakuwa na kiburi sana.Wakati Makonda anaongea,kabla ya Magu kuongea.Makonda alikuwa anaainisha umuhimu wa huo mfuko wa Tasaf,ndo akasema na yeye mfuko uliwahi msaidia nauli ya kwenda Dom.
sio friendly, ni kwamba anamuogopa Bashite.Ameongea friendly kabisa, itakuwa alikuwa anachomekea tu.