Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Rais Magufuli amchenjia Makonda?

ugomvi wa baba na mwanawe kipenzi ni bora kukaa pembeni sisi wa kufukia tunaweza tukatimuliwa nyumbani buree
Ole wake atakayejiingiza kwenye huo ugomvi wa baba na kipenzi chake, ataondoka yeyee! Muulize Nape aliyetaka kuunda tume kuchunguza ujambazi wa Bashite kuvamia studio za Clouds.
 
Kiranga,
Umesahau na kipindi kile alichowapatanisha Ruge na Makonda baada ya Makonda kwenda kwenye studio za Clouds na ma-goons wake wenye silaha za moto?

Badala ya kukemea na kumtumbua Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka yake, eti akawapatanisha jukwaani!

Wangapi kawatumbua on their first strike?

What does Makonda have to do to be let go? Rape someone in broad daylight and stream it on social media?

 
Kiranga,
Umesahau na kipindi kile alichowapatanisha Ruge na Makonda baada ya Makonda kwenda kwenye studio za Clouds na ma-goons wake wenye silaha za moto?

Badala ya kukemea na kumtumbua Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka yake, eti akawapatanisha jukwaani!

Wangapi kawatumbua on their first strike?

What does Makonda have to do to be let go? Rape someone in broad daylight and stream it on social media?


Wana lao jambo hao. Si bure.
 
Ben ndo alitumia hela za TASAF vibaya kumpa jamaa nauli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza hotuba ya makonda (ingawa simpendi) alisema hata yeye alifadhiliwa kama wanaofadhiliwa na TASAF na aliyemfadhili ni Mkapa kumpa fedha ya nauli kwenda Dodoma kugombea umakamu wa UVCCM. Mkapa was so embarrassed na kikwete akaonesha kam huyu sasa anasema nini!!! Zaidi
 
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.


Hanna lolote hapo. Magufuli ni Nduli Iddi Amin na Makonda nii Isaac Maliyamungu.
 
Kiranga,
Umesahau na kipindi kile alichowapatanisha Ruge na Makonda baada ya Makonda kwenda kwenye studio za Clouds na ma-goons wake wenye silaha za moto?

Badala ya kukemea na kumtumbua Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka yake, eti akawapatanisha jukwaani!

Wangapi kawatumbua on their first strike?

What does Makonda have to do to be let go? Rape someone in broad daylight and stream it on social media?

We mzee Wa new jersey
Huyu jamaa ashashindikana
Hagusiki, anaweza fanya atakalo
Unaweza Sema ni "special one"

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikiliza hotuba ya makonda (ingawa simpendi) alisema hata yeye alifadhiliwa kama wanaofadhiliwa na TASAF na aliyemfadhili ni Mkapa kumpa fedha ya nauli kwenda Dodoma kugombea umakamu wa UVCCM. Mkapa was so embarrassed na kikwete akaonesha kam huyu sasa anasema nini!!! Zaidi
Tangu niumbwe nafundishwa na naona nikisoma kuwa
Mji mkuu Tz ni Dodoma
Mji muhimu (mashuhuri) Tz ni Daressalaam
Kama ilivyo kwa Beijing na Hong Kong kule China au
Washington DC na New York kule Marekani
 
Tangu niumbwe nafundishwa na naona nikisoma kuwa
Mji mkuu Tz ni Dodoma
Mji muhimu (mashuhuri) Tz ni Daressalaam
Kama ilivyo kwa Beijing na Hong Kong kule China au
Washington DC na New York kule Marekani
Ni mpuuzi makonda, ingefaa mwenyezi mungu amuondoe duniani
 
Back
Top Bottom