Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Iko dakika ya ngapi hiyo maana naona hii video ina dakika kumiMbele ya Magufuli, Makonda hafanyagi makosa kama ilivyo kwa wengine!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko dakika ya ngapi hiyo maana naona hii video ina dakika kumiMbele ya Magufuli, Makonda hafanyagi makosa kama ilivyo kwa wengine!!!
Ole wake atakayejiingiza kwenye huo ugomvi wa baba na kipenzi chake, ataondoka yeyee! Muulize Nape aliyetaka kuunda tume kuchunguza ujambazi wa Bashite kuvamia studio za Clouds.ugomvi wa baba na mwanawe kipenzi ni bora kukaa pembeni sisi wa kufukia tunaweza tukatimuliwa nyumbani buree
Kiranga,
Umesahau na kipindi kile alichowapatanisha Ruge na Makonda baada ya Makonda kwenda kwenye studio za Clouds na ma-goons wake wenye silaha za moto?
Badala ya kukemea na kumtumbua Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka yake, eti akawapatanisha jukwaani!
Wangapi kawatumbua on their first strike?
What does Makonda have to do to be let go? Rape someone in broad daylight and stream it on social media?
Sikiliza hotuba ya makonda (ingawa simpendi) alisema hata yeye alifadhiliwa kama wanaofadhiliwa na TASAF na aliyemfadhili ni Mkapa kumpa fedha ya nauli kwenda Dodoma kugombea umakamu wa UVCCM. Mkapa was so embarrassed na kikwete akaonesha kam huyu sasa anasema nini!!! Zaidi
Huyo ni mwana mfalme daima hakosei.Mbele ya Magufuli, Makonda hafanyagi makosa kama ilivyo kwa wengine!!!
Nakubaliana na wewe.BASHITE NDIO RAIS WA TANZANIA. BASHITE NI BOSS WA MAGUFURI.
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.
Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.
Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]
Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.
Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.
Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?
Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.
Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.
We mzee Wa new jerseyKiranga,
Umesahau na kipindi kile alichowapatanisha Ruge na Makonda baada ya Makonda kwenda kwenye studio za Clouds na ma-goons wake wenye silaha za moto?
Badala ya kukemea na kumtumbua Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka yake, eti akawapatanisha jukwaani!
Wangapi kawatumbua on their first strike?
What does Makonda have to do to be let go? Rape someone in broad daylight and stream it on social media?
Yes na anamuamini sanaIla kweli it's unlikely to happen.... Kuna muda hata mkulu anaonekana kumtumia kwenye mission zake.
Tangu niumbwe nafundishwa na naona nikisoma kuwaSikiliza hotuba ya makonda (ingawa simpendi) alisema hata yeye alifadhiliwa kama wanaofadhiliwa na TASAF na aliyemfadhili ni Mkapa kumpa fedha ya nauli kwenda Dodoma kugombea umakamu wa UVCCM. Mkapa was so embarrassed na kikwete akaonesha kam huyu sasa anasema nini!!! Zaidi
Labda makosa ya makonda ni HIMILIVU kama deni letu la Taifa.Mbele ya Magufuli, Makonda hafanyagi makosa kama ilivyo kwa wengine!!!
Ni mpuuzi makonda, ingefaa mwenyezi mungu amuondoe dunianiTangu niumbwe nafundishwa na naona nikisoma kuwa
Mji mkuu Tz ni Dodoma
Mji muhimu (mashuhuri) Tz ni Daressalaam
Kama ilivyo kwa Beijing na Hong Kong kule China au
Washington DC na New York kule Marekani
Puzzling, no doubt. And somewhat disturbing.Wana lao jambo hao. Si bure.
Tuko pamoja sasa...nimekupata