Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Boss Nyani Ngabu Umoja wa Vijana na TASAF vinaingilianaje hapo ??? !!! Mpaka Mh. Mkapa ameshangaa nae. Aliambiwa nauli ilitoka kwenye pesa za TASAF ??? !!! Kiki ... Kiki ... !!!
Aisee ... Kamanda ... anasema ... LAZIMA tuwe ... Wazalendo, na sio tena MOYO wa KIZALENDO.
Kweli Dunia inazunguka kwa kasi sana aisee.



Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.

 
Hiyo katuni ya King Kinya is one for the ages.

Right up thwre with the satires of Juvenal.

Watu wenye akili watakapouandika utawala wa Magufuli miaka hii mitano ya mwanzo, hiyo katuni isikose, imeandika mengi sana.

Mimi niliacha kuchora darasa la nne, lakini ningekuwa nachora bado, hii ndiyo katuni ambayo ningechora.

Anayevuma Kipanya, lakini King Kinya is so underrated.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyani Ngabu hii mada yako ''apparently ni kama minutia', between the lines inaeleza mambo mengi sana. Napenda sana hoja nyepesi zinazozaa maswali magumu! Bravo
1. Kumtaja Makonda sioni kama ni tatizo, alishawahi kuwataja watu wengine akiwemo Lugola. Pass

2. Je, kumtaja katika ''hali' iliyotokea ilikuwa kuji-dissociate katika ku-mitigate hoja ya ''association''?

3. Ilikuwaje Mh akajua pesa zilichukuliwa lakini hakuambiwa kama ni halali au haramu?
Anazo ''apparatus'' zote ambazo zingempa taarifa on the spot. Hapa ilikuwa ni kweli au kutekeleza #2 hapo juu

4. Ukiangalia ''reaction' ya Marais wastaafu ni ' Faux pas'. Kwanini ilitokea vile!
 
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.



Wasaniiii hao
Wametengeneza Movie ; nauli ya kwenda Dodoma wakati Huo Makonda aliomba Kila mahali ... maana hiyo ndio ilikua kawaida yake kupita kwa makada wa ccm kuomba omba ( Besenga) kati ya watu waliompa nauli ni Rizwani Kikwete ; Frédérique Lowassa; Mzee Sitta etc

Huyu ameshawahi pia kuuwa kada wa Chadema alipoingia Chuo Cha ushirika na Mfadhili wake mkubwa alikua Philllemom Ndesamburo
Huyu ndio alifanya akajuana na Mzee Mengi ambaye kipindi hicho alikuwa na urafiki wa karibu na wanasiasa waliojiita “ walio mstari wa mbele kupambana na ufisadi” .. Mwakyembe na Sitta ... hapo akabadilika akawa ccm wakawa wanamtumia kutukana baada ya kumpenyeza UVCCM Kilimanjaro
Hapo pia akajenga “ushoga” wa karibu na Sitta
So ni mtu ambaye ana Tabia ya kusoma alama za nyakati na kujiweka na wenye nguvu ndio maana ameweza kuhama toka sponsors hadi sponsors from
ndesamburo; Sitta ; Kikwete na Sasa JPM
 
Wasaniiii hao
Wametengeneza Movie ; nauli ya kwenda Dodoma wakati Huo Makonda aliomba Kila mahali ... maana hiyo ndio ilikua kawaida yake kupita kwa makada wa ccm kuomba omba ( Besenga) kati ya watu waliompa nauli ni Rizwani Kikwete ; Frédérique Lowassa; Mzee Sitta etc

Huyu ameshawahi pia kuuwa kada wa Chadema alipoingia Chuo Cha ushirika na Mfadhili wake mkubwa alikua Philllemom Ndesamburo
Huyu ndio alifanya akajuana na Mzee Mengi ambaye kipindi hicho alikuwa na urafiki wa karibu na wanasiasa waliojiita “ walio mstari wa mbele kupambana na ufisadi” .. Mwakyembe na Sitta ... hapo akabadilika akawa ccm wakawa wanamtumia kutukana baada ya kumpenyeza UVCCM Kilimanjaro
Hapo pia akajenga “ushoga” wa karibu na Sitta
So ni mtu ambaye ana Tabia ya kusoma alama za nyakati na kujiweka na wenye nguvu ndio maana ameweza kuhama toka sponsors hadi sponsors from
ndesamburo; Sitta ; Kikwete na Sasa JPM
Na hata sasa anaendelea kuomba kwa wenye nazo kusaidia maskini
 
Huu ndio ukweli wa mambo.

Kuna kitu kafanya naye kinamoa status fulani iliyo katika level ambayo wanafizikia wanaita "singularity".

Singularity ni pale kanuni zote zinavunjika.

Magu anaweza kuwa mkali sana, anatumvua watu ndani ya dakika moka tu.

Lakini kwa Makonda kanuni zake zote za kutumbua zinavunjika.

Rejea issue ya Coulds FM. Mtu mwingine yeyote angetumbuliwa.

Rejea issue ya makintena kuingizwa bila kulipa kodi, pale Magu alihutubia kama mwanamke anayemsihi mume anayemoenda ambaye hataki kupewa talaka, yani ilikuwa kama anasema "jamani Makonda mbona uko hivyoo, mi nakuoenda halafubwewe unafanya uhuni, lipa kodi basi usiniletee balaa".

Makomda hata hakuomba msamaha.

Sasa hivi kwenye hili la TASAF Magu ni kama anasema kwa kubana pua "Jamani Makonda basi kama umeiba rudisha, nimeshakusamehe nakupenda sana sitaki uniacheee".

What's up with that?

Is Magufuli Makonda's bitch?

He surely looks like one.

Makonda ana siri gani ya Magufuli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unknown
 
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.


Nothing will happen ngabu. Makonda is a Blue-eyed Boy.
 
Eti kajitutumua kumsema bashite wakati anajua kabisa hana kosa lolote kwenye hili
 
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.



That was not in a serious note

Hela katoa mkapa, sio JPM, ilitoka enzi za mkapa
 
Ni hivi hizo pesa za TASAF ni enzi ya Mkapa,Makonda alikuwa hohehahe hivyo akasaidiwa.Hizo pesa ilikuwa ni halali kwake kabisa ukilinganisha na mission za TASAF.Akipenda atarudisha tu maana kwa sasa ana uwezo.

Yaani ukisoma post za watu....mpaka huruma
 
hawezi kumchenjia Makonda,mpaka wanajimilikisha Ardhi eneo moja kwa pamoja,then ujue Makonda sio wa kutumbuliwa leo wala Kesho..tutabaki tunaongozwa na mapoyoyo mpaka kesho
TV bila remote control haijakamilika
 
Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe.

Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo.

Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani hakuna baya litalomtokea [sababu yaweza kuwa ni kwa sababu hakuzitumia kabisa hizo hela, au, alizitumia lakini anajua kuwa Rais hatomfanya chochote, n.k.]

Kamera pia ziliwaonyesha marais wastaafu wote watatu.

Kwa kuwasoma lugha yao ya mwili, ni kama vile walikuwa ‘embarrassed’ na alichokisema rais.

Ni kweli Rais Magufuli alimaanisha alichokisema au kasema vile ili kuonyesha tu kuwa ‘hampendelei’ Makonda?

Binafsi naona kama vile kasema tu ili kuonyesha ‘hampendelei’ jamaa huku kiuhalisia hakuna lolote atalomfanya maana jamaa ana madhambi mengi na makubwa kuliko hilo la kutumia fedha za TASAF.

Bofya video umsikie Rais alivyosema kuhusu Makonda. Kuanzia dakika ya kwanza hadi ya pili.


Ilikuwa ni JOKES tu.Hakuna wa kumbabaisha Dlt.Makonda.Kesho Makonda atajitangaza kuwa karudisha shs milioni kumi za TASAF.Game Over!
 
Back
Top Bottom