Rais Magufuli amedhihirisha kuwa ni kinara wa kutetea Haki za Binadamu kwa vitendo kwa jinsi anavyoshughulikia janga la COVID-19

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Hajapanic ametulia, anaangalia hali halisi ya maisha ya watanzania hajakurupuka anawahurumia watu wake ana hofu ya MUÑGU huyu ndiye John mtoto wa Magufuli

Waliopiga kelele kuwa anavunja haki za binadamu wamejifunza kwa vitendo sitegemei kusikia tena Mbwa akibweka kuwa kuna uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania

Kuanzia mwezi huu mwishoni maisha ya kawaida yatarejea wataungana na falsafa ya Mwamba wa Chato Mtanzania namba moja hodari mwenye imani kama akina Ibrahim

Heko JPM mwenyezi Mungu alikuandaa uje kuliongoza Taifa hili kwenye nyakati ngumu umebarikiwa
 
Walimbeza sana mwanzoni, lockdown Tanzania tungeshakufa njaa. Mabeberu wenyewe hii imewashinda
 
Kwa sasa tunawaza uchaguzi. Kama unategemea uteuzi sahau kabisaaaa
 
Huyu ndiye Rais wa Afrika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…