Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amepania kurejesha kwa nguvu mfumo wa chama kimoja nchini

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amepania kurejesha kwa nguvu mfumo wa chama kimoja nchini

Kama kweli tumemkubali watanzania wote, ni kwanini basi anaogopa uchaguzi ulio huru na wa haki, ili wananchi ndiyo wachague viongozi wao wanaowataka katika uchaguzi ulio huru na haki??

Utasemaje kuwa watanzania ndiyo tulioamua kurudi kwenye mfumo wa chama kulimoja, wakati figisu figisu zikionekana dhahiri kwa wagimbea wa upinzani zaidi ya asilimia 95, fomu zao zikikataliwa kuwa eti zimejazwa vibaya, wakati wenzao wa CCM wakiwa wamejaza kwa usahihi wa asilimia 100??
Sio yeye, kwenye hili la uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM iko nchi nzima, hivyo wagombea wake wamejaziwa na fomu zao zikahakikiwa. Hata hivyo tulituma ombi hili kwa rais Magufuli na likakubaliwa
P
 
Kalamu1,
Umenikumbusha enzi za mwalimu alivyowaweka ndani wenzake waliopigana naye kutafuta uhuru kama Bibi Titi Mohamed, Kambona na wengine wengi ambao walikuwa karibu naye. Watu kama akina Sykes huwa hatuwasikii kwenye historia ya chama. Tukae tusubiri cha Pombe atakavyoanza fukuza fukuza ndani ya chama chake akishanogewa.
 
Weye tena!
Ndiyo

Ni Mimi tena na sitakaa kimya, hadi nihakikishe kuwa watawala wetu wanarejesha mfumo wa kutawala kwa haki, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu

Refer wosia aliotoa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, kabla hajafa, namnukuu "Tunamchagua Rais wetu ambaye kabla hajaanza madaraka yake ya kutuongoza, tunamwapisha ili aitii na aiheshimu Katiba ya nchi, ikiwa Rais huyo hatataka kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu, Rais wa aina hiyo HATUFAI" mwisho wa kunukuu
 
Ndiyo

Ni Mimi tena na sitakaa kimya, hadi nihakikishe kuwa watawala wetu wanarejesha mfumo wa kutawala kwa haki, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu

Refer wosia aliotoa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, kabla hajafa, namnukuu "Tunamchagua Rais wetu ambaye kabla hajaanza madaraka yake ya kutuongoza, tunamwapisha ili aitii na aiheshimu Katiba ya nchi, ikiwa Rais huyo hatataka kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu, Rais wa aina hiyo HATUFAI" mwisho wa kunukuu
Uachoka tu 2025 ni mbali sana
 
Kalamu1,
Mkuu watu wazima wazipopiga Kura,watoto wa shule ya msingi watalazimishwa kupiga kura na matokeo yatatangazwa ,mshindi atapishwa na maisha kuendelea,
 
Watanzania tunataka chama mbadala hatutaki chama Cha upinzani. Vyama vya upinzani hatari Sana kwa usalama wa nchi
 
Pascal Mayalla,
Mkuu pascal mbona hueleweki?kwa maana nyingine umeamua kutafuna maneno yako uliyotoa kwenye lile bandiko lako ukimtaka rais aache uchaguzi uwe huru na haki ukisimamiwa na vyombo vilivyo huru kwa kuwa kwa kazi anayoifanya hana haja ya kutumia mabavu kwenye uchaguzi ili achaguliwe.
 
Mkuu siku yaja watu hawataogopa risasi za moto. Tutatimia ule mfumo wa "one down nine to go" Subiri gas zijae vema vifuani.
 
Mkuu pascal mbona hueleweki?kwa maana nyingine umeamua kutafuna maneno yako uliyotoa kwenye lile bandiko lako ukimtaka rais aache uchaguzi uwe huru na haki ukisimamiwa na vyombo vilivyo huru kwa kuwa kwa kazi anayoifanya hana haja ya kutumia mabavu kwenye uchaguzi ili achaguliwe.
Mkuu Fenestra Rotunda, sio kila kinachofanyika ni Magufuli. Bandiko hili bado linasimama
P
 
Mkuu siku yaja watu hawataogopa risasi za moto. Tutatimia ule mfumo wa "one down nine to go" Subiri gas zijae vema vifuani.
Hiyo siku inakuja kwa kasi kubwa sana......

Itafika mahali wananchi wa nchi hii watatamani kufa ili kuhakikisha kuwa watawala wetu wanatawala kwa haki na hawawaonei wapinzani
 
Mkuu Fenestra Rotunda, sio kila kinachofanyika ni Magufuli. Bandiko hili bado linasimama
P
Sasa ili asihusishwe yeye katika kila kinachofanyika kwa nini basi asitoe tamko lolote kupinga uchafuzi wa democracy kwenye huu uchaguzi kama anaamini atapata huo ushindi mtamu??Him being quiet katika haya mambo inaamaanisha jambo moja tuu-AMERIDHIA! You've to understand this Mr.Pascal.
 
Sasa ili asihusishwe yeye katika kila kinachofanyika kwa nini basi asitoe tamko lolote kupinga uchafuzi wa democracy kwenye huu uchaguzi kama anaamini atapata huo ushindi mtamu??Him being quiet katika haya mambo inaamaanisha jambo moja tuu-AMERIDHIA! You've to understand this Mr.Pascal.
As long as ana wasaidizi, and they are capable and can handle the situation, then there is no need of his intervention unless the situation goes offhand.
P
 
As long as ana wasaidizi, and they are capable and can handle the situation, then there is no need of his intervention unless the situation goes offhand.
P
The situation has already gone off hand na ndio maana imekuwa main topic everyday kwa vyombo vikubwa vya habari vya nnje,mitandaoni na hata mitaani but the man doesn't give a damn kwa kuwa ameridhia iwe hivyo. Naa hata hao wasaidizi wanaendeleza the same game kwa kuwa wanajua wana backup yake kwa kuwa hawakemei wala kuwaonya.Ni vizuri uelewe hili kwa kuwa liko wazi saana.
 
Tujiulize kwanza
Je kweli kiongozi wetu ni Muhitimu wa Elimu ya Siasa na Ungozi
Je Chama kilimtayarisha kimfumo?
Nakumbuka hata RIP Sokoine Mwl kuna miaka alimpeleka Machimbo kujinoa
Nina wasiwasi hata lile chimbo la Kigamboni kiongozi wetu hakuonjeshwa
Hivyo hili zigo la kufuta upinzani ANAONEWA
 
The situation has already gone off hand na ndio maana imekuwa main topic everyday kwa vyombo vikubwa vya habari vya nnje,mitandaoni na hata mitaani but the man doesn't give a damn kwa kuwa ameridhia iwe hivyo. Naa hata hao wasaidizi wanaendeleza the same game kwa kuwa wanajua wana backup yake kwa kuwa hawakemei wala kuwaonya.Ni vizuri uelewe hili kwa kuwa liko wazi saana.
Kwa kuwa sisi wananchi tunajionea dhahiri namna huyu mtu alivyopania kuitumbukiza shimoni nchi yetu, ndiyo sababu natoa wito kwa watanzania wote tupige kelele kwa nguvu zetu zote, ili huyu jamaa asiendeleze ubabe wake huo, kwa kutumia majeshi yetu, ambayo anaamini yanamtumikia yeye binafsi

Kwa kufanya hivyo pekee, ndipo tutakapolinusuru Taifa letu, ili lisiweze angamia kabisa
 
Wapinzani wanategemea Magafuli awape mbinu za kumshinda? Hovyo kabisa, tukiwachagua mnaunga mkono juhudi, hatuna uhakika kesho itakuwa zamu ya nani, zito au mbowe?
Ni kweli kabisa, unasubiri adui yako akupe silaha ya kupigana naye. Hakuna siku Jiwe au CCM itaweka mazingira mazuri kwa wapinzani wake kufanya siasa. Wao sasa hivi mikutano yao wanafanya wanavyotaka. Wapinzani hata mikitano ya ndani wanazuiliwa na polisi.
 
Je wapinzani wana mikakati gani ktk kuwaletea wananchi maendeleo yao au wqnakalia kupiga kelele kuhusu Demokrasia ambayo imewasaidia wanasiasa wote akipata maendeleo yao binafsi kama tulivyoongea utapeli wa kitabu cha mkapa na maovu yao na bado wadanganyika wa siasa za Demokrasia wanamsifia.
Nadhani n bora tumwache huyu jamaa atunyooshe kidogo tuwe na akili timamu
 
Back
Top Bottom