Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo nchi gani??Dunia nzima inashuhudia ukiukwaji mkubwa wa katiba ya CHADEMA unaofanywa na Ayatola Mbowe, asiyetaka kabisa kuachia uenyekiti wa CHADEMA. Niongeze volume or?
Ndicho nilichokisemaPania lakini kwa hoja na kuridhika kwa wananchi kutokana na mafanikio yako na sikulazimisha kwa mtutu WA bunduki hapo haikubaliki na utaondoka na vyama utaviawacha hapahapa ukapita wewe.
Eeenh, napinga mlinganisho huo.Kalamu1,
Umenikumbusha enzi za mwalimu alivyowaweka ndani wenzake waliopigana naye kutafuta uhuru kama Bibi Titi Mohamed, Kambona na wengine wengi ambao walikuwa karibu naye. Watu kama akina Sykes huwa hatuwasikii kwenye historia ya chama. Tukae tusubiri cha Pombe atakavyoanza fukuza fukuza ndani ya chama chake akishanogewa.
"Kunyima ushirikiano" ni zaidi ya kupiga kura. Watu wakiamua kufanya hivyo hali itabadilika haraka sana.Kalamu1,
Mkuu watu wazima wazipopiga Kura,watoto wa shule ya msingi watalazimishwa kupiga kura na matokeo yatatangazwa ,mshindi atapishwa na maisha kuendelea,
Ili tusinyimwe misaada na mabeberuLakini bado tunajitangaza kuwa ni nchi ya vyama vingi.
Taifa la wajinga hiloHapana
Ndiyo maana watanzania wote tunapaswa tuungane na kuidai Katiba mpya ya nchi
Kaka dunia kwa sasa ni ya utandawazi tena mkubwa mno; hakuna nchi duniani iliyo na interest na siasa za nchi yetu eti haijui nini kinachoendelea, tangu ununuzi wa madiwani, kuwadhoofisha viongozi wa upinzani, kuwapa kesi kibao ili badala ya kutumia muda kujenga vyama vyao basi watumie muda huo kushinda mahakamani. . Kuwatisha tisha nkFUSO,
Wewe unadhani, nini kitaendelea baada ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa??
Jibu langu ni kuwa anataka ashinde kwa asilimia 100, ili aihadae dunia kuwa hapa nchini hakuna upinzani dhabiti, bali kuna wapinzani dhaifu sana!
Ili atimize ajenda yake ya siri, ya kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja na kumfanya yeye kuwa Life President wetu
Hayo ni mawazo yako au ndio katiba inavyosema?Upinzani unatakiwa kuwa na nguvu ya kuihoji serikali kuanzia matumizi ya pesa mpaka nidhamu ya viongozi hata kwa maisha yao binafsi.
Sasa wabunge wa upinzani wanapounga mkono juhudi baada ya kutembelewa na katibu muenezi inamaliza nguvu ya upinzani.