Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amepania kurejesha kwa nguvu mfumo wa chama kimoja nchini

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amepania kurejesha kwa nguvu mfumo wa chama kimoja nchini

Kwanza nakupa hongera kwa kupenda kuchukuwa mawazo ya upande mmoja nakuyafanya ndio sahihi bila ya kuyabalance.Pili ningependa kukuweka sawa hakuna Rais ameeonekana au kusikika akiwapa maelekezo watendaji wake kuhusiana na uchaguzi, ninavyojua ni pale Rais anapokuwa ziarani na kutaka kujua kero za wananchi halafu mhusika hayupo hapo utakuta lipo chini ya vyama pinzani sasa huoni hizo ni dharau Rais atawezaje kuwasaidia wananchi wakati wawakilishi wao hawapo na ndio maana anakuwa anatoa kauli za kuwataka wananchi kuchagua viongozi wanaofaa sasa hapo ni kosa. Kuhusu fomu kumbuka vyama pinzani vilishasusia kabla hata ujazaji fomu kuanza huoni kuwa walikuwa na lengo la kususa kabla ya kujaza fomu?hapo walishaona mambo mazuri yanayofanyika wakaona watumie mbinu hizo ili ionekane wanaonewa kwa kuwaweka wagombea wasiowapa maelekezo ya jinsi ya kujaza fomu na pia kila chama kina mwanasheria wake na ilikuwa unavyojaza fomu unatakiwa ugongewe mhuri na katubu wake hilo nalo utalizungumziaje. Wagombea wa ccm waliweza kujaza fomu vizuri ni kutoka na kupewa maelekezo mazuri na wanasheria wao. Pia kumbuka vyombo vya ulinzi na usala vipo kwa ajili ya usalama wa wananchi wake na sio ccm pekee, hao wengine wanavunja sheria na ndio maana unaona kama wanaonewa. Hivyo nakushauri uwe unajitahidi kutafuta taarifa vizuri na kuzilinganisha la sivyo baadae utakuja kujilaumu na muda utakuwa umeshapita.
Maelezo marefu sana, lakini ulichoongea ni pumba tupu...........

Hivi wewe ni kipofu hata ushindwe kubaini aliyetoa maagizo ya kipuuzi ya kuvuruga uchaguzi wa Serikali ya mitaa ni Jiwe mwenyewe??
 
Kwa rais kujua shida za wananchi wake lazima afanye ziara,sasa hiyo representation tunayoambiwa niya nini na tunawakilishwa kwa nani?Je hiyo ya wapinzani kutokujumuika kwenye ziara za rais imeanza tangu 1992 au wakati huu wa Magufuli?
Wapinzani hawaoni sababu ya kujiunga na ziara yake huyo jamaa.........

Kwa kuwa wanajua wakijiunga kwenye ziara hizo ni kusimangwa na kudhalilisha na huyo Jiwe
 
Usimsingizie, bali ni kutokana na utendaji uliotukuka, Watanzania, tumemkubali, na wapinzania, wameamua kwa ridhaa zao wenyewe, kuviacha vyama vyao na kuunga mkono juhudi.

Uchaguzi huu wa serikali za mitaa, ndio kazi inaanza rasmi na kumalizia 2020!.
Tulisema na kumsifu Magufuli ni kama Nyerere, ni kama Nyerere kweli hadi kwenye vyama!.

Hakuna kitu ambacho wapinzani hawakukijua kumhusu rais Magufuli, kwababu alipoingia tuu, mtaalamu huyu wa sayansi ya siasa, alitoa somo hili
P
Wewe Ulishapondwa ukaitwa Njaa, Uteuzi Utauisikia tu Kwa Wenzio..
 
Back
Top Bottom