Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa


Magu kila muda unavyosonga Mzee wangu anazidi kupoteza Nidhamu za kiutendaji,2020 inamchanganya sana.
 
Serikali haina dini sasa baba magufuli anamfukuzaje mtu kwa kutumia mamlaka ya kuwa mkuu wa serikali???

Wanazingua huyu mzee!,kuna mtu alimtia makofi Mzee mwinyi ila alimsamehe na maisha yakaendelea huyu Mzee sasa naona Atatupeleka Pabaya naanza kuionea huruma kadi yangu ya ccm.
 
Kulewa isiwe sababu ya kufanya ujinga Alafu nyie walevi bwana mnafanya ujinga mnataka muachwe eti tu umelewa
Mkishikiswa adabu mtakunywa kwa ustaarabu mkichekewa mtafanya zaidi ya hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe ulilewa au hukulewa maadamu umefanya kosa na kushtakiwa ni lazima upewe nafasi ya kusikilizwa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli mtu wa kutumbua watu jukwaani kwa kelele za "nitumbueee, nisitumbueee?"

Halafu wananchi wanamjibu.

"Tumbuaaaa"

Anatumbua hapo hapo.

Huyo ni mtu wa kusubiri hatua za due process na za kinidhamu?
 
Biblia kuchana ni kama unachana gazeti has no impact ,it is a fake book
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mimi nikiwa sio timamu na mapombe yangu ni halili kuja kubaka nyumbani kwenu?
si pombe sio mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo Ulitaka wakae kimya tu....nchi iingie kwenye machafuko kwaajili ya ujinga wa mtu 1
Zanzibar padri aliuawa nchi haikuingia kwenye machafuko, Dar na Kagera makanisa yalichomwa moto nchi haikuingia kwenye matatizo, mtindo huu unaotumiwa na viongozi ndiyo unaofanya waislamu wakitendewa wanaanzisha vurugu.
 
Zanzibar padri aliuawa nchi haikuingia kwenye machafuko, Dar na Kagera makanisa yalichomwa moto nchi haikuingia kwenye matatizo, mtindo huu unaotumiwa na viongozi ndiyo unaofanya waislamu wakitendewa wanaanzisha vurugu.
serikali haikuwachukulia wahusika hatua..?..mbona hata kule kusini waislam walivamiwa msikitini na wakapigwa,mapanga na nchi haikuingia katika machafuko.......

nchi inaweza isiingie kwenye machafuko lakini Taifa likaingia kwenye dhambi ya kuwa na watu ambao wana matabaka yanayo sababishwa na udini....kitu,ambacho sio kizuri
 
Nguvu ya kamera ya simu iliyopiga picha tukio la kuchanwa kwa msaafu ni kubwa!
 
pia usitoe zawadi/ahadi ukiwa na furaha kupindukia.

rejea mfalme herode kumtuza bintiye herodia.

binti alichagua kichwa cha yohana mbatizaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia tujifunze vitu vya kuomba!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ...yani katika yote aliyokuwa nayo Mtukufu Mfalme Herode, Herodia bintie aliona Kichwa cha Yohana ndicho cha muhimu?(tafadhali nisiambiwe eti hapa alishauriwa na *****)πŸ˜‚
 
Utawala wa sheria haufatwi kabisa nchi hii.Mahakama ikishibitisha kuwa alikuwa kichaa je? Atapoteza haki yake ya ajira sababu tu ya Tamko la Mh Rais

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko wenzako walishanikimbia
Fungua uzi nitakuja huko tuelimishane kwa hoja


Huu uzi acha tumpongeze kipenzi Magufuli
Jinsi anavyowasomesha namba islamophobes

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina muda wa kufungua uzi.
Nipe link ya huo uzi ulipowashinda Wakristo wenzangu nikuonyeshe how deep i am in Christianity
 
Mbona waislamu wanakuitaga wewe kafiri hiyo sio dharau kwa imani nyingine?
Ni dharau lakini mafundisho yetu hayatuelekezi ukorogi na mabavu kama wenzetu. Yesu alihubiri upendo hata kwa adui zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…