Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele


Hebu weka picha zao nilinganishe na nione maana siwajui hata walivyo
 
Kwa uandishi huu kweli umesoma shule za jumuiya ya wazazi. Ulifika darasa la ngapi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa uandishi huu kweli umesoma shule za jumuiya ya wazazi. Ulifika darasa la ngapi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
😂😂😂Unashangaa au unaulza?hii ndio Elimu niliopewa nachama chako mzgo....we Unashangaa mm kuwa nauandshi wako ila unasahau kumshangaa kiongozi wako ambae anaelimu yajuu kabsa lakn anashndwa simamia maneno yake.sio bure brother inatakiwa ukapmwe ubongo...kama ulsha pmwa ubongo bac we utakua milembe day😃😃😃na unaendelea nadozi.maana we Unashangaa mm wakat ata mm najishangaa kwaelimu wanayojsfu wameboresha wakat imeshndwa kutusaidia.
 
Kwa uandishi huu kweli umesoma shule za jumuiya ya wazazi. Ulifika darasa la ngapi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wakati mwngne huwe unafikilia chakucoment kabla,nakama upo kazini we ni hewa apa Chama chetu kinakupa Elfu15 yabure tu.apa hakuna shindano la insha,,,ungekua ukunielewa usingechosha dole gumba lako kwenye coment yangu....ila kwakua umeelewa naunataka tutambue upo kazn ndio maana umeleta kihelehele.....ata mm nlkua boya kama wewe tangu mwaka2010.Sasaiv naangalia Sera ata rungwe Nampa staki kutumika kawewe
 
Hapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.

Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Dah! Astakafirulahi... Huu ujiniaz ni wa kiwango cha bwawa la Nyerere
 
Ndiyo maana anawakata watu kama Masele anawaacha akina Msukuma, Kibajaji na Mlinga!!
 
Hapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.

Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Mkuu hiyo nchi ya SADC ipo bara gani hapa duniani?
 
Kwamba kazi ya Magufuli ni kugawa vyeo,no wonder uchumi wetu umeanguka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mwisho ulivyomalizia, imebidi nicheke tu
Shinyanga Masele hajawahi kushinda alipogombea na Shelembi alishindwa na alipogombea na katambi alishindwa zote wameiba na hata Salome atamshinda huyu mtu wa Geita katambi ccm sijui yapoje wizi tu

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Mzee Baba ameshapaniki. Hizi ahadi za vyeo ktk kipindi hiki muhimu cha kampeni za uchaguzi wa nafasi ya uraisi ni sawa kabisa na matendo najisi ya rushwa. Unataka kumuhonga Lissu kwa uteuzi sasa unaendeleza hata kwa huyu Masele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…