Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Yes ni mtafiti lakini alikuwa mkurugenzi wa NIMR...

Matokeo yoyote yenye uhatarishi ya ugonjwa kama Zika alipaswa atoe ripoti kwa Waziri, then Rais...

Hivi mnaifahamu Zika lakini?
 
..kwa hiyo Raisi anaituhumu UN-WHO ambao ndio waliomuajiri Dr.Mwele Malecela kuwa wanaipiga vita Tz?
Huyu mtu kauli zake anataka tuje kutengwa, kuna vingine anatakiwa akaushe tu, mbona JK alikua hana hizi tabia
 
rais anajenga reli, mabwawa ya umeme, elimu bure bado unamuona wa ajabu?

Mkuu rekebisha hapo ,hajengi kwa Pesa zake kutoka Mfukoni kwake zile ni Kodi za Wananchi na kuyafanya hayo sio Hisani ni wajibu wa Serikali yoyote kufanya hivyo...

Nime kushangaa sana sijui umefikiria kwa kutumia nini.
 
Magufuli ni zero anashindwaje kuwa namba moja kwenye utalii porojo porojo tu na visingizio kibao miaka minne ana foka foka tu kama joka la kibisa hivi huyu mshamba kikwete alimtoa wapi
Alimtoa kwa mamaako na ndio babaako yule au hujui?
 
Inasemekana ZIKA inafanana kabisa na DENGUE pia haina dawa kama dengue inawezekana kabisa tuliumwa na ZIKA tukaambiwa ni DENGUE.

Nnachoshangaa baada ya Raisi kumtoa Yule mtangazaji wa magonjwa hayo, magonjwa nayo yakapotea!!
 
Magufuli ni sadist shetani mwenye Royo mbaya Alivyo mpuuzi alidhani alivyomfukuza angerudi kulia Lia kwake ulimwengu ulimuona ulijuwa ana PHD halisi sio ya kwake ya kuchonga alie tu uraisi wenyewe umemshinda zero kabisa
Naona una hasira sana dada baada ya kugundua uzuzu wako uliotaka kuifannyia nchi
 
Just imagine familia ya malecela (minus tumbo tumbo) wanajisikiaje, umemfukuza kazi yeye yuko kimya, kapata kazi unamuandama, leo mtoto anajitibu kansa ya ziwa wewe unamsakamna kumharibia jina kabisa, just because wewe ni raisi, pathetic, you sadist
Kumbe ana kansa ya ziwa?
 
No, please, serology ilionyesha kuwa kuna antibodies against Zika virus! Means kuna infection .. au positive serology had a history of exposure to Zika, sijui kama umesoma immunobiology
Hichi ndicho alicchokisema Dr. Malechela
 
Labda anamtumia ujumbe aje kukiri alifanya kosa kama mafisadi
 
Hivi hii vita ya kiuchumi tunapambana na nani hasa?
Kama hata hao mliotangaza kwa mbwembwe wahujumu uchumi unaamrisha DPP awasamehe?

Shadowboxing? A deep game of chess without a defined opponent?
 
Amefanya kama mkuu wa mkoa wa Mbeya.

Naam.
Wale wa kuteuliwa ambao si lazima wawe na vyeti hawalazimiki kufuata sheria za nchi.
Walioajiriwa kwa kukidhi sifa za kitaaluma lazima wafuate taratibu, kanuni, itifaki n.k
Contradictions, contradictions..!
 
Humjui Mwele!
The most intelligent Woman I know!
Educated, smarter and intellectual!
Beauty with Brain.
Kama Mwele ndo the most intelligent woman you know basi nina mashaka na exposure yako.


Kwenye list yangu ya intelligent woman I know, she rarely touch top 10.

Na nimefanya nae kazi
 
Na wewe kwa kuweza ku type hako ka sentensi unajiona unaijua WHO?? Wewe ni tasa tu kwenye ubongo kwa kukariri unayoambiwa na watu wenye chuki.
Mfano ukisema maambukizi ya HIV ni asilimia 5 wao (UN AIDS) wananuna maana unapunguza ulaji wao. Hukuona UNHCR wanavyong’ang’ania kuwa bado Burundi si shwaari ili waendelee kupiga? Achana na ghiriba yao hao unaowaona ni washua.
 
Hawa tunaowaita " Mabeberu" wana mchango mkubwa sana kwenye achievements karibu zote kwenye sekta ya Afya zinazozungumzwa kwenye majukwaa ya kisiasa Tanzania. Mfano, Ni kwenye malaria ,vifo vya kina mama wakati wa kujifungua ,na HIV/AIDS .. Interventions karibu zote zinafadhiliwa na Hawa jamaa..

Ikumbukwe vizuri wakati wa kampeni za Trump kuingia madarakani USA,aligusia kupunguza kiasi Cha fedha zinazotolewa na USA kwenye ufadhili wa ARVs, wadau wa ukimwi Afrika wakaanza kuhaha,sababu kama Hilo lingetekelezwa majority ya waathirika wa HIV wasingeweza kumudu kununua ARVs achilia mbali hata nchi zenyewe kununulia wananchi wake...

Kuna upotoshaji mwingi kwenye baadhi ya vitu pengine sababu watanzania wengi si wafwatiliaji wa mambo hivyo Ni rahisi kutoa statement yoyote halafu ukashangiliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…