Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,397
Hata dengue pia ilikimbia???
usipime dengue ilikimbiza na iliondoka na roho za watu dar, sema taarifa za uwepo wake ziliminywa ikawa mara kipindupindu mara malaria.
Watu wakaambiwa ukijisikia hivyo tumia panadol na maji kwa wingi