Rais Magufuli ampongeza Marehemu Askofu Chengula kwa kukemea ushoga na mapenzi ya jinsia moja

Rais Magufuli ampongeza Marehemu Askofu Chengula kwa kukemea ushoga na mapenzi ya jinsia moja

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
Ilikuwa leo katika ibada maalum ya kumuaga Marehemu askofu wa Jimbo kuu la wakatoliki Mbeya iliyofanyika Makao makuu ya baraza la maaskofu Tanzania Kurasini jijini DSM.

Alipopata fursa ya kutoa salam Mh Rais Magufuli alisema sitamumunya maneno, Nampongeza marehemu askofu Chengula kwa mema aliyofanya lakini jambo kubwa moja alilolisimamia katika uhai wake, hasa kupinga ushoga waziwazi, kupinga mapenzi ya jinsia moja.

Rais alisema kuwa Askofu Chengula hakuogopa kuonyesha msimamo wake katika kukemea maovu na mimi nampongeza na namuombea kwa Mungu apate pumziko la amani milele.

Napinga kabisa ushoga kama alivyopinga Askofu Chengula. Aidha aliwapongeza viongozi wote wa dini walioonyesha msimamo wao wa wazi wa kupinga ushoga na kuwaomba wasirudi nyuma, waendelee hivyo hivyo kwani jambo hilo chafu limekemewa katika vitabu vyote vya dini.

My take: Ole wenu mashoga. Ole wenu nyie wachafu mnaotaka kuinajisi nchi yetu. Ole wenu.

Ds7G6puWkAA9BKD.jpg

IMG-20181126-WA0006.jpg
 
Haya huo ni ujumbe tosha kwenda kwa wanafiki fulani wanaojifanya ushoga hauwahusu na kila mtu eti ana haki zake
 
JPM kaza kaza Baba... wanataka Wadanganyika wapoteze Maadili ndio waone tunastahili kupata mkopo au misaaada.
BRICS ndio inatumia Hoja kama hizi kujitanua taratibu.
 
Ilikuwa leo katika ibada maalum ya kumuaga Marehemu askofu wa Jimbo kuu la wakatoliki Mbeya iliyofanyika Makao makuu ya baraza la maaskofu Tanzania Kurasini jijini DSM.

Alipopata fursa ya kutoa salam Mh Rais Magufuli alisema sitamumunya maneno, Nampongeza marehemu askofu Chengula kwa mema aliyofanya lakini jambo kubwa moja alilolisimamia katika uhai wake, hasa kupinga ushoga waziwazi, kupinga mapenzi ya jinsia moja.

Rais alisema kuwa Askofu Chengula hakuogopa kuonyesha msimamo wake katika kukemea maovu na mimi nampongeza na namuombea kwa Mungu apate pumziko la amani milele.

Napinga kabisa ushoga kama alivyopinga Askofu Chengula. Aidha aliwapongeza viongozi wote wa dini walioonyesha msimamo wao wa wazi wa kupinga ushoga na kuwaomba wasirudi nyuma, waendelee hivyo hivyo kwani jambo hilo chafu limekemewa katika vitabu vyote vya dini.

My take: Ole wenu mashoga. Ole wenu nyie wachafu mnaotaka kuinajisi nchi yetu. Ole wenu.....
Sasa tumejua msimamo wa serekali
 
Ilikuwa leo katika ibada maalum ya kumuaga Marehemu askofu wa Jimbo kuu la wakatoliki Mbeya iliyofanyika Makao makuu ya baraza la maaskofu Tanzania Kurasini jijini DSM.

Alipopata fursa ya kutoa salam Mh Rais Magufuli alisema sitamumunya maneno, Nampongeza marehemu askofu Chengula kwa mema aliyofanya lakini jambo kubwa moja alilolisimamia katika uhai wake, hasa kupinga ushoga waziwazi, kupinga mapenzi ya jinsia moja.

Rais alisema kuwa Askofu Chengula hakuogopa kuonyesha msimamo wake katika kukemea maovu na mimi nampongeza na namuombea kwa Mungu apate pumziko la amani milele.

Napinga kabisa ushoga kama alivyopinga Askofu Chengula. Aidha aliwapongeza viongozi wote wa dini walioonyesha msimamo wao wa wazi wa kupinga ushoga na kuwaomba wasirudi nyuma, waendelee hivyo hivyo kwani jambo hilo chafu limekemewa katika vitabu vyote vya dini.

My take: Ole wenu mashoga. Ole wenu nyie wachafu mnaotaka kuinajisi nchi yetu. Ole wenu.....

Yule Makamu wa Bank ya Dunia aliyekuwa nae Jumba jeupe wiki chache zilizopita ni Bwabwa
 
Kwa lipi maana kama nigekutwa ninao halafu na mambo yalivyobadilika si sasa hivi nigekuwa na kilo 20 ghafla... sina hamu naye kabisaaaa
hahahahahaahahah, ila mshukuru sana Na.n...... hahahahahahah alivyokuhimiza.
 
Back
Top Bottom