Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Mtu aliye timamu hutumia ubongo wake kufikiri. Nakushauri, jua kwanza kazi zao na kisha soma sana lakn ukishindwa, usijibu maana utaonekana jinsi usivyo muelewa kwenye uzi muhimu kama huu. Ni vyema kuelewa na sio kushabikia.
wengine wapo kazini, just ignore them
 
Nakubaliàna na we we nchi zote duniani hazifanani sasa kwanini sisi tushindwe kutimiza hata huduma muhimu za jamii ka maji safi kwa wananchi wanaopeteza mda mwingi kutafta maji machafu ya kwenye mabwawa na madibwi, licha ya kuwa na mito mikubwa, maziwa makubwa na bahari hapo napo tumsingizie nani, ka serikali haijali wananchi wake. Tanzania tuna kila kitu cha kutufanya tupige hatua ila tumekosa dira ka taifa, na malengo ya mda mrefu plus uzalendo. Ni aibu sana Mpaka leo tunahangaika na madawati wakati sasa hivi tungetakiwa kufikiria mambo mengine ya karne ya 21.
 
smart phone yangu inaisha chaji, ntakujibu vizuri tu dada...........
 
Ungekuwa unanijua ungesema kwamba najua au sijui. Ila hongera kwa kutokujua.
Tatizo lako unadhani wote humu wajinga usilolijua wewe ndo nalijua mimi na nisilolijua mimi unalijua wewe ndomana hatufahamiani..so endelea kujua maana mjuaji upo peke yako
 
Kuteuliwa kutoka nje maana yake nn mkuu?
 
na Mbowe alikuwa Dj...ahahahaaa
Hahahahaha Unamaanisha Mbowe yupi ni mtu huru au mwingine maana huo ni ukoo mpaka huku kwetu yupo .....Mbowe, kule yupo..... mbowe hata iliokua taasisi ya kubinafsisha mashirika ya umma yaani wakati ikiwa hai yaani PSRC wakati fulani iliongozwa na ..... Mbowe
 
Nataka kulewa lewaaa nataka kulewa , lewaa nikilewa nimwage radhi
 
JPM anatuogopesha Wananchi, kwa nini lakini?
Sasa kwa hali hii wafanyakaz wa NIDA watakuwa na hali gani kisaikolojia?
 
Mambo mengine unajiongeza kiongozi au vep?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…