Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Osman Rashid na Chande Othman Jaji mkuu ni mtu na mdogo wake sasa inawezekana vipi Othman Rashid asiwe Mzanzibar? Una uhakika na unachokiandika au unabashiri?
Chande aliye kuwa jaji mkuu katika Tanga
 
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.

Mkuu nitapataje Kazi huko kwani naona kama vile na Mimi nina sifa za kuwa kama hao uliowataja hapo juu.
 
Osman Rashid na Chande Othman Jaji mkuu ni mtu na mdogo wake sasa inawezekana vipi Othman Rashid asiwe Mzanzibar? Una uhakika na unachokiandika au unabashiri?
Othmani Rashid katoka Tanga wilaya ya muheza na Othman Chande nae wa Tanga jiji hapo chumbageni, ni majina tu yamefanana hawana undugu kabisa.
 
Idara yenyewe limekuwa genge la wahuni tu. Kazi ni kutumika na akina Bashite kuvamia watu na kuwaumiza tu. Hawa hawa ndo wamemnyooshea bastola Nape. Idara hii imepoteza 'credibility' yake, haina hadhi tunaoifahamu.
 
Osman Rashid na Chande Othman Jaji mkuu ni mtu na mdogo wake sasa inawezekana vipi Othman Rashid asiwe Mzanzibar? Una uhakika na unachokiandika au unabashiri?
Tatizo lako unajifanya mjuaji sana
Chande na RO wote kwao ni Tanga na sio Zanzibar miaka kama 2 iliyopita Chande alifiwa na mwanae Rashid(Chid) alienda kuzikwa kwao Tanga
 
Osman Rashid na Chande Othman Jaji mkuu ni mtu na mdogo wake sasa inawezekana vipi Othman Rashid asiwe Mzanzibar? Una uhakika na unachokiandika au unabashiri?


Hawa ni watu wawili tofauti hawana undugu wowote, aliyekua Jaji mkuu ni mtu kutoka tanga aliyetokea zanzibar ni Jaji Augusitino Ramadhani. Hata huyu former chief spy office ni wa tanga vile vile lakini hawana uhusiano wowote.
 
Idara yenyewe limekuwa genge la wahuni tu. Kazi ni kutumika na akina Bashite kuvamia watu na kuwaumiza tu. Hawa hawa ndo wamemnyooshea bastola Nape. Idara hii imepoteza 'credibility' yake, haina hadhi tunaoifahamu.
haya ni madhara ya ujuaji. Ni vyema kujitahidi kutumia akili kuandika mambo yanayojenga. Bashite hawezi kuitumia idara kufanya uhuni wake
 
Dk kipilimba hongera tuna imani utaiongoza vyema team yako kutulinda sisi wananchi wenu na nchi yetu pia.big up mueshimiwa Rais kwa uteuzi huu makini.[HASHTAG]#bring[/HASHTAG] back [HASHTAG]#ben saanane[/HASHTAG]
 
Hebu acah Uzushi! All in all ni Mtanzania au kigezo anatakiwa awe kabila gani labda?!?!?
Ni mssukuma ndio maana ameanzisha special assassin squad kwa ruhusa ya mukulu operator akiwa Bashite he is too naked huyu atauwa kuliko Idd Amin alivyouwa raise your voice people utawala huu ni utawala wa kishirikina hauna manufaa kabis kwenye nchi hii wameshindwa kutawala sasa wanataka tukae kimya kama hatutakaa kimya
 
mnaulizana makabila mnataka kutambika?
Ha ha muulize Magufuli Bashite na Ndugai wasukuma munajielewa sana kwa kuanzisha mauaji kama mufanyavyo huko shinyanga geita wauaji wakubwa hapa nchini munamalizana wenyewe sasa munataka kuleta hapa Dar es salaam ambapo waasisi walikuwa wanalala macho kutafuta uhuru harafu nyie watu wakuja muje muirarue bandari salamu nani atakubali
 
Dk kipilimba hongera tuna imani utaiongoza vyema team yako kutulinda sisi wananchi wenu na nchi yetu pia.big up mueshimiwa Rais kwa uteuzi huu makini.[HASHTAG]#bring[/HASHTAG] back [HASHTAG]#ben saanane[/HASHTAG]
Huyu ndie usalama wa kwanza tangu uhuru anayejali tumbo lake na watawala hana manufaa kwa nchi bali kw Magufuli na Bashite ajiangalie tuu vyombo vingine vya usalama vikashaona analeta upuuzi atapata majibu yake maana Polisi wameshaanza kumkana maana operation zake anazofanya na bashite zimekuwa peupee pee he has to go kuliko kutuingiza kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe
 
Pigania haki yako kwani huna sifa? kwa sasa mpaka uchan=guliwe lazima uwe unatokea parokia fulani
jamaa huyu alipigwa ban ya miaka mitano sahv anatumia id nyingine au walimsamehe?? kweli ni kilaza mjinga na sio mjanja.
 
Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama Taifa ni Marehemu Mzee Gama kutoka Songea, sikumbuki mtiririko wake ila walifuata pia kina Hans Kitine, Imrani Kombe mchaga, kuna huyu Mnyakyusa amestaafu wakati wa JK nimemsahau jina (Apson Mwang'onda)then akaja Mzanzibar Othman Rashid ndio akaingia bwana huyu.

Mkurugenzi wa kwanza ni Emilio Mzena
 
Back
Top Bottom