Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

ni wa Ruangwa mkoani LINDI. nakumbuka MAMA SALMA ALIWEKA KAMBI MKOANI LINDI KUHAKIKISHA CCM WANAPATA VITI VINGI VYA WABUNGE. MPAKA MWISHO CCM VITI 4, CUF VITI 4. NAKUBALI NI CHAGUO LA MSOGA
 
Safi sana,sasa waziri wa feza atoke nyanda za juu kusini mbeya,iringa na Songea
 
Duh.......hapo ss, sijui utendaji wake huko Tamisemi ila huku si ndio kila wakati kunalalamikiwa ubadhirifu wa hela serikali za mitaa.
 
Cant people be serious.even that man to be pm.we are not serious at all.
 
Who is Kassim Majaliwa....?? His biography please....
 
Waziri mkuu alitakiwa muhongo ama mwigulu,sasa huyu majaliwa,,,,,,,,,,,
 
Mbunge wa Ruangwa hakuna kaskazim wala kusin ni Ruangwa tu.

Kazi tunayo watumishi wa Lindi
 

Attachments

  • 1447915511828.jpg
    1447915511828.jpg
    34 KB · Views: 571
Back
Top Bottom