Baada ya Rais kupendekeza jina la Kassim Majaliwa kwa nafasi ya U-pm.
Kama atapita anaenda kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambapo ndio atakuwa mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali. Waziri Mkuu akichemsha, Serikali nzima imechemsha.
Mawaziri Wakuu wengine waliomtangulia ni Jk Nyerere, RM Kawawa, EM Sokoine, Cleopa Msuya, Salim A Salim, Warioba, Malecela, Sumaye, Lowassa na Pinda.
Ipi ni top 3 ya Mawaziri Wakuu bora wa wakati wote ambao walipiga kazi iliyotukuka katika Nchi hii.