weeeeeeeeee!!!!!!!!!! Mhongo mbona ni Baba wa Uongo tutakoma kudanganywa kila siku hana lolote, Hakuna muongo kama dr MhongoSospeter Mhongo + Dr Mwakyembe.... Mmoja kati ya hao
Kwa fikra zake anaweza kuleta jina la Waziri Mkuu kutoka Zanzibar
Jaman kwan kikao bado mbona updates hamna? Tupen jaman wengne tupo misituni
Wote mnaowataja Hawafai kabisa anaye faa kwa kasi ya Magufuli ni Mwakyembe tu. ila kwa vile rais yuko chini ya kikwete ateteuwa Mnaowataja