Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Rais Mwanza, Makamu Zanzibar, Waziri Mkuu Lindi...... wangekua wale wenzetu sijui kama ingetokea hii!
......Spika kanda ya Kati, Naibu Spika Nyanda za juu Kusini.

Kuna mambo ni "unwritten" lakini yana nafasi kubwa sana katika kudumisha mshikamano na kulinda utaifa. Watu hawaelewi tu lakini no way kuepuka mambo hayo.
 
2006 kikwete alifanya kosa kumteua lowassa maana alimfunika vibaya,magufuli naona kaogopa kumteua mwakiembe au mhongo maana wte wajanja kumliko wangemfunika sana..
wewe nakuelewa zaidi
 
Acheni aharibu si ndo faida kwa UKAWA.
Hakuna chaguo ambalo mngelikubali, mwenyewe Magufuli hakubaliki UKAWA sasa chaguo lake vyovyote haliwezi kubalika.
 
utaanza kumtazama, kumjadili na kumjadili kutokana na KABILA lake na utakuwa umepoteza sifa ya uchambuzi.

Wala so hivyo mkuu sina nia hiyo kuna mtu yuko nje uko ndo kaniuliza
 
Naona ataweza
Lakin nahis rais hakutaka kuteua atakaye mzidi kiutendaji

Tunataka maendeleo
 
Nimefurahi MAJALIWA kawa PM
Nimefurahi Adam Malima kakosa ubunge
Nimefurahi kusikia Majaliwa anafaa wengine hawafai kuwa PM
Nimechukia sana LUKUVI kukosa u PM
Nitachukia Nape akiwa Waziri
Naona BUNGE limeanza vibaya.
 
Acheni aharibu si ndo faida kwa UKAWA.
Hakuna chaguo ambalo mngelikubali, mwenyewe Magufuli hakubaliki UKAWA sasa chaguo lake vyovyote haliwezi kubalika.
ni kweli upinzani usingeweza kupongeza uteuzi wa yeyote na huo ndio upinzani ulivyo dunia nzima
 
Ha ha ha ha
Watu wa Mtwara na Lindi wote wanafanana kama wachina. Huyu Kassim mbona anafanana na Membe
 
ukiwa upinzani nahisi hakili huwa zinapungua kidogo sababu hats jambo la msingi wao wanapinga tu,

wanashindwa kumpinga mbowe kwa kumuondoa slaa, nasasa chama kinakufa hivihivi. pole sana upinzani.
 
Huoni kama hana tofauti sana na Mizengo
 
 
Pinda . Wassira. Membe. Wamestaafu???
 
Upinzania walitaka achague kutoka kanda ya ziwa ili wamu blackmail na Ukanda. Ha ha ha ha
 
Sifa pekee ni uadilifu tu mbona hujatupa sifa ya uchapa kazi wake

Huo uwaziri ofisi ya Waziri Mkuu unafikiri atakuwa anafanya nini !?
Ukawa mna maswali ya kibwege ----- sana. simanyane
 
Last edited by a moderator:
unamaanisha anataka kuwa Vladmir Puttin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…