Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
......Spika kanda ya Kati, Naibu Spika Nyanda za juu Kusini.Rais Mwanza, Makamu Zanzibar, Waziri Mkuu Lindi...... wangekua wale wenzetu sijui kama ingetokea hii!
Kuna mambo ni "unwritten" lakini yana nafasi kubwa sana katika kudumisha mshikamano na kulinda utaifa. Watu hawaelewi tu lakini no way kuepuka mambo hayo.