Baada ya kusubiri kwa muda mrefu bungeni,na katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi,hatimaye mhe.Kassim Majaliwa ambaye ni mbunge wa jimbo la Ruangwa amependekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,bunge linasitishwa kwa muda kumruhusu Mwanasheria Mkuu wa serikali akaandae wasifu wa Waziri Mkuu ili akawasomee wabunge,kabla ya kumthibitisha kama yalivyo matakwa ya katiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.