Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu bungeni,na katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi,hatimaye mhe.Kassim Majaliwa ambaye ni mbunge wa jimbo la Ruangwa amependekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,bunge linasitishwa kwa muda kumruhusu Mwanasheria Mkuu wa serikali akaandae wasifu wa Waziri Mkuu ili akawasomee wabunge,kabla ya kumthibitisha kama yalivyo matakwa ya katiba.
 
Hahahahahaahah

Serikali ya CCM bwana....PM ni Majaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…