Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg

Majaliwa Kassim Majaliwa is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ruangwa constituency since 2010. He is the current Deputy Minister of State in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government
 
Majaliwa K. Majaliwa
Majaliwa Kassim Majaliwa (born 22 December
1960) is a Tanzanian CCM politician and
Member of Parliament for Ruangwa
constituency since 2010. On the 19th of
November, 2015, he was appointed by
President John Pombe Magufuli to become
the Prime Minister under the 5th Phase
Government.
He was formerly the Deputy Minister of State
in the Prime Minister's Office for Regional
Administration and Local Government. [1]
References
1. ^ "Member of Parliament CV" .
Parliament of Tanzania. Retrieved 24 February
2013.
Template:Tanzania Prime Minister
Template:Current Prime Minister
Last edited on 19 November 2015, at 0...
? Mobile Desktop
Content is available under CC BY-SA 3.0
unless otherwise noted.
Terms of Use Privacy
Honourable
Majaliwa K. Majaliwa
MP
Incumbent
Assumed office
November 19 2015
Serving with Aggrey Mwanri
Minister George Mkuchika (2010-12)
Hawa Ghasia (2012-present)
Member of Parliament
for Ruangwa
Incumbent
Assumed office
November 2010
Personal details
Born 22 December 1960 (age 54)
Tanganyika
Nationality Tanzanian
Political party CCM
Alma mater Mtwara TTC
University of Dar es Salaam
Profession Teacher
Military service
Allegiance United Rep. of Tanzania
Service/branch National Service
Military camp Makutopora JKT
Duration 1 year
 
Huko TAMISEMI kuna dili sana maana hata Pinda alitokea huko
 
Kweli mwaka huu umdhanie ndiye siye. Haya sasa Majaliwa hata kwa mawazo ya watu hakuwepo. Pombe kaamua
 
Tamisemi elimu ni mdaiwa sugu wa madeni ya walimu.majaliwa ndie aliyekuwa waziri mwenye dhamana.kama ya kundi dogo yalimshinda ya wengi atayaweza?au ni ccm ile ile tajiri wa sauti.?
 
Huyu hapa Kassim Majaliwa
 

Attachments

  • 1447915943646.jpg
    1447915943646.jpg
    26.4 KB · Views: 662
Safi sana? yani tendo la kuwanyima wale kina dogo jembe limenipa faraja sana.

pambaff zao manina
 
Huyu majariwa ana vigezo kweli kuwa Wazili mkuu? Mbona kama jina lake sio maarufu ktk ulingo wa siasa?
 
Kutoka gazeti la Nipashe.

Wakati kitendawili cha nani atakuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya awamu ya tano ya Rais Dk. John Magufuli, kikitarajiwa kuteguliwa leo, kuna kila dalili mteule wa nafasi hiyo anatarajiwa kuwa Mbunge wa Ruangwa (CCM), Kassim Majaliwa.

Majaliwa alikuwa Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa serikali ya awamu nne chini ya Rais Jakaya Kikwete.

Siyo jina kubwa kwenye medani ya siasa na aliingia katika medani hiyo mwaka 2010 baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Ruangwa na kuteuliwa kushika wadhifa huo serikalini na kudumu nao hadi Rais Kikwete alipong?atuka.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya duru za serikali zinasema Rais Magufuli anataka kuteua mtu mpya atakayetekeleza kauli mbiu yake ya `Hapa kazi tu?.

Rais Magufuli atamkabidhi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai, jina la Waziri Mkuu leo asubuhi, ambaye atalitagaza na baadaye jioni kupigiwa kura.

Uchunguzi wa Nipashe kupitia vyanzo vyake mbalimbali umebaini kuwa Waziri Mkuu huyo, ambaye atalazimika kupitishwa na bungeni kupitia kura zitakazopigwa leo kabla Magufuli hajalizindua Bunge hilo kesho, umebaini kuwa jina la mteule huyo halijawa wazi kwa watu wengi, tofauti na walioteuliwa kushika nafasi hiyo katika serikali iliyopita ya awamu ya nne.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Rais Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005, watu wengi walitabiri kwa usahihi kuwa angemteua Edward Lowassa, kuwa Waziri Mkuu.

Na hicho ndicho kilichotokea, kwani siku chache baadaye, jina la Lowassa liliwasilishwa bungeni na mwishowe akapitishwa na wabunge kwa kishindo kuwa Waziri Mkuu.

Kadhalika, inaelezwa vilevile kuwa hata baada ya Lowassa kujiuzulu kufuatia sakata la mitambo ya kufua umeme ya Richmond, wengi walitabiri kuwa Mizengo Pinda, angeteuliwa na Rais Kikwete kuwa Waziri Mkuu. Na ndivyo ilivyokuwa.

Hata hivyo, Nipashe imebaini kuwa hivi sasa tetesi kuhusiana na jina la Waziri Mkuu wa Serikali ya Dk. Magufuli, ziko tofauti sana kulinganisha na vile ilivyokuwa katika uteuzi wa Lowassa ambaye sasa yuko Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Pinda.

Hata hivyo, Nipashe imethibitishiwa na chanzo cha uhakika kuwa Majaliwa ndiye anayepewa nafasi kubwa kushika wadhifa huo.

Majaliwa anaaminika kuwa ameonekana kuwa ana uwezo wa kuendana na kasi aliyoanza nayo Rais Magufuli katika kuhakikisha kuwa ahadi zote zilizotolewa wakati wa kampeni zinatimizwa.

Kwanini karata dume itamwangukia Majaliwa?

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umegundua viashiria kadhaa ambavyo vinadokeza kuwa Majaliwa ndiye atashika nafasi ya Waziri Mkuu.

Kwanza, ni kitendo chake cha kushika wadhifa wa Naibu Waziri kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kwa miaka mitano, kumemfanya kuvuna uzoefu wa kufanya shughuli za taasisi hiyo na kukidhi vigezo vya kuaminiwa kupewa nafasi hiyo.

Pia ukizingatia kuwa Majaliwa ndiye aliyekuwa na jukumu la kusimamia masuala ya elimu kwenye Tamisemi, ambayo ni miongoni mwa ahadi kubwa za Rais Magufuli.

Ikumbukwe kuna suala la utekelezaji wa ahadi ya elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Kutokana na uzoefu wake wa kuongoza masuala ya elimu kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, kunamwongezea sifa ya kushika nafasi hiyo.

Kutokana na ukweli kuwa sifa mojawapo ya Waziri Mkuu anatakiwa kuwa mtu ambaye anaujua mfumo wa serikali, ndiyo maana kunafanya jina la Majaliwa kutajwa kushika nafasi hiyo.

Nipashe pia limedokezwa uwezekano wa Majaliwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo umeongezwa na taarifa kuwa hata staili yake ya maisha katika siku za karibuni imebadilika.

Kuna taarifa zimedokeza kuwa familia yake yote kwa sasa iko mjini Dodoma huku kukiwa na ulinzi mkali kwenye nyumba ya serikali anayoishi eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam.

?Mheshimiwa na familia yake wamekwenda Dodoma tangu Jumapili iliyopita. Nyumbani kwake hakuna mtu kwa sasa,? alidokeza mmoja wa wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, ambaye hata hivyo, siyo msemaji wake rasmi.

Mmoja aliye karibu na Majaliwa, naye aliiambia Nipashe hajawasiliana na kwa njia ya simu na Majaliwa tangu Jumapili iliyopita.

?Unajua ninafahamiana na Mheshimiwa Majaliwa kwa miaka mingi. Huwa ninamsaidia shughuli zake nyingi. Siyo kawaida yake kutojibu simu. Hata kama hatapokea, basi ni mwepesi kupiga baadaye. Nadhani kuna kitu hapa. Nina wasiwasi. Ila yote kheri kama mambo yatamnyookea,? alidokeza rafiki yake wa karibu, ambaye hakupenda jina lake litajwe gazetini.

Pia kutajwa kutokana na ukweli kuwa Majaliwa anatoka Mkoa wa Lindi ambao Kanda ya Kusini kunafanya awe na nafasi kubwa.
 
Majaliwa K. Majaliwa
Majaliwa Kassim Majaliwa (born 22 December
1960) is a Tanzanian CCM politician and
Member of Parliament for Ruangwa
constituency since 2010. On the 19th of
November, 2015, he was appointed by
President John Pombe Magufuli to become
the Prime Minister under the 5th Phase
Government.
He was formerly the Deputy Minister of State
in the Prime Minister's Office for Regional
Administration and Local Government. [1]
References
1. ^ "Member of Parliament CV" .
Parliament of Tanzania. Retrieved 24 February
2013.
Template:Tanzania Prime Minister
Template:Current Prime Minister
Last edited on 19 November 2015, at 0...
? Mobile Desktop
Content is available under CC BY-SA 3.0
unless otherwise noted.
Terms of Use Privacy
Honourable
Majaliwa K. Majaliwa
MP
Incumbent
Assumed office
November 19 2015
Serving with Aggrey Mwanri
Minister George Mkuchika (2010-12)
Hawa Ghasia (2012-present)
Member of Parliament
for Ruangwa
Incumbent
Assumed office
November 2010
Personal details
Born 22 December 1960 (age 54)
Tanganyika
Nationality Tanzanian
Political party CCM
Alma mater Mtwara TTC
University of Dar es Salaam
Profession Teacher
Military service
Allegiance United Rep. of Tanzania
Service/branch National Service
Military camp Makutopora JKT
Duration 1 year
 
Back
Top Bottom