Duuu....watu kwa kufukunyua mafaili , hakika Tanzania
inteligencia yetu iko juu sana.
Hawana undugu ni maneno tu ya watu. Hata Membe walisema wana undugu wengine wakasema Membe ana undugu na Kikwete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu....watu kwa kufukunyua mafaili , hakika Tanzania
inteligencia yetu iko juu sana.
Yani mabogasi yapo mengi... yani kabisa umeamua kuandika uliyoyaandika????Yaani we unajivunia elimu ya wanafunzi kurudia madarasa.Ndo unaona ubora wa elimu.
Wewe unaona fahari ya div 5 na 6!?.
Utendaji utakuwa mzuri japo nimesikia tena anaundugu na salma kikwete!
usiri gani na jina la majaliwa lilishakuwepo midomoni.
Tetesi zinasema Makamba ndio waziri mkuu. Pathetic sana, kama atamteua Makamba nitajua kuwa kuna remote control.
Hawana undugu ni maneno tu ya watu. Hata Membe walisema wana undugu wengine wakasema Membe ana undugu na Kikwete.
Kwa kweli ni mara yangu ya kwanza kumsikia yeye mwenyewe pamoja na jimbo lake.
Hilo jimbo la Ruangwa lipo mkoa gani!!?
Ongea kama mtu mwenye akili timamu mbona unajiabisha sana dogo??!!
Kama rais hajawahi kufariki ni kwa nini unabet afariki!? Kwani CJ, Mkuu wa majeshi na spika hawapo!?Rais akisafiri/ akifariki ni nani atafanya shughuli za serikali bungeni ma shughuli zingine za waziri mkuu?
Kwa fikra zake anaweza kuleta jina la Waziri Mkuu kutoka Zanzibar
Ni mda sahihi sasa kwa watanzania kupigania katibu mpya, hiki cheo cha waziri mkuu kina maana gani kama kuna makamu wa rais?? Kwanini makamu wa rais asifanye kazi za waziri mkuu au awepo waziri mkuu tuu?? Hizi nchi ndogo ndo zina vyeo vya ajabu sana.
Naamini mabiliko ya kweli nayo ni 'majaliwa'.
kama Makamba angekuwa waziri mkuu mitandao yote ingedhibitiwa uhuru wa habari kuminywa kisawasawa, kama angemteua mwigulu, uonevu dhidi ya wananchi wasio na hatia hasa wapinzani wangeumia, kama angemteua Lukuvi basi misifa ingekuwa kibao, mwakyembe hapo kiu ya wananchi ingekamilika lakini swala dini likawa kikwazo.Tetesi zinasema Makamba ndio waziri mkuu. Pathetic sana, kama atamteua Makamba nitajua kuwa kuna remote control.