Zambavuni
Senior Member
- May 24, 2012
- 118
- 26
Ha ha ha ha
Watu wa Mtwara na Lindi wote wanafanana kama wachina. Huyu Kassim mbona anafanana na Membe
Hiyo wataalam wanaiita inbreeding. Damu zatakiwa kuchanganyikaga na za kisukuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha
Watu wa Mtwara na Lindi wote wanafanana kama wachina. Huyu Kassim mbona anafanana na Membe
Dr.Tulia ni kilaza kweli kweli,, dah hii nchi bana
Huyu Tulia hamna kitu
Naomba tusilinganishe uwezo wa mtu na mtu mwingine. Watu wanasema kuwa JK ni sawa na JPM, huu ni utawala mwingine. Mimi sitaki kushabikia, tumpe muda tuone.wasiwasi wangu ni kuwa Mizengo alishangiliwa sana hata zaidi ya huyu lakini mwisho wa siku tumejionea wenyewe, mimi nafikiri watanzania tuache kuwa na expectations kubwa na hawa wateule na wachaguliwa kwani mwisho wa siku wanatuangusha vibaya
Huu mfumo unakatisha tamaa hata vijana yani vigezo vinakuwa ukabila,ukanda, ujinsia,udini eti kubalance mambo na nchi !wtf! Haya angalia watu waanza kusema 2025 muislam pasipo kujua atakuwa na uwezo au vp? Mbona nyerere aliwajaza wachaga maofisini kwa sababu walikuwa wamesoma! Kenya hamnna ujinga huo km unajua unanguvu pambana sio kubalance mambo! Unamuachaje mwigulu, muhongo, mwakyembe, unamleta majaliwa ili iweje? Yawezekana leo ikawa turning point yangu kutoka ccm au kuacha kufikiria km ntaingia siasani ! Km jpm maguli ni jembe kaogopa nini kuchagua majembe menzake? Hapa kinana kaniangusha
Tulia kabanwa mbavu ni hamna!
huyu tulia hamna kitu