Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mtupu kichwan
Mgombea nafasi ya uspika Tulia ameshindwa kujibu swali lini alijiunga Na ccm, Mh.Ndugai amemlinda Na kumwondoa kwenye kizimba!
sure,kaweka mtu boya ili asifunikwe,,,short and clear
Dr Tulia safi sana unajibu maswali kwa fact big up kweli we Mwanasheria
Kimsingi kaulizwa maswali mawili tu, swali la Matiko na la mwisho ni swali moja, na katika kuyajibu naona alikuwa anawapa kwanza maelezo kuelekea kwenye jibu, wakawa wanamuingilia katikati wabunge wa upinzani, alichofanya Ndugai ni kuona wanapoteza muda maana kila akiwaambia wamsikilize Tulia wanaendelea kupayuka!Ndugai anafeli mapema kabisa,Anamtetea msaidizi wake amejibu swali moja tu katika matatu aliyoulizwa,Sijui elimu yake lakini kwa haya maelezo MAGDALENA SAKAYA ni zaid ya Dr.Tulia.
Dr. Tulia atashindwa kuendesha bunge...
Tulia mtupu kichwan
Hao ma Prof. na Ma Dr. wangemletea ujuaji mwingi ngoja achukue mwenyewe vyeo vyote viwili ili tuone madiliko ya kweli. Ninamuaminia ataweza. Mbona rais wa Nigeria uwazili wa mafuta kajipa mwenyewe ambao anajua ndio jicho la nchi? Hapa kwetu almost kila wizara mambo hayaendi vizuri. Akiwa na PM wa kawaida maamuzi mengi atayatoa yeye. Kwani mmemsahau Mzee mkapa alivyompendekeza Sumaye? Mpaka akaitwa Mr. Z
Hajabanwa...Amepaniwa...
Kuna watu hawataki huyu dada awe Naibu Spika...
Hasa ikizingatiwa kwamba huyu dada ndio atakuwa Mshauri mkuu wa Spika...Na uendeshaji wa Bunge unahusisha sana tafsiri za kanuni na vifungu...
Kazi wanayo...
Kimsingi kaulizwa maswali mawili tu, swali la Matiko na la mwisho ni swali moja, na katika kuyajibu naona alikuwa anawapa kwanza maelezo kuelekea kwenye jibu, wakawa wanamuingilia katikati wabunge wa upinzani, alichofanya Ndugai ni kuona wanapoteza muda maana kila akiwaambia wamsikilize Tulia wanaendelea kupayuka!
Upande wa sheria huyu atawakaba sana wale wanaotokaga nje, nahisi sisiemu wanaanza kumuandaa mrithi wa baada ya miaka 10 wa Ndugai! Atakuwa tayari!
Naomba tusilinganishe uwezo wa mtu na mtu mwingine. Watu wanasema kuwa JK ni sawa na JPM, huu ni utawala mwingine. Mimi sitaki kushabikia, tumpe muda tuone.
kama Lowassa alivyo banwa na Zuhura Yunus !
Je tulia ni pendekezo la nan??
duuuu.
amebebwaaa, amebebwaaa, amebebwaaaa, amebebwaaaa, amebebwaaaaa!!!!!