johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Rais Magufuli akiwa ziarani Mbeya mwaka jana Sugu alipanda kwenye gari ya mh Rais na kupewa kipaza sauti kisha akawatangazia wana Mbeya kwamba anamuunga mkono Rais Magufuli kwa 100%Siyo kweli, Jiwe linatafuta kick tu, Sugu kasema hotel imejengwa kwa kufuata vibali vyote. Na kama hao mburula wangeamua kuvunja ni ukweli husiotia shaka Sugu angefungua kesi mahakamani na hata mahakama ingemuabudu Jiwe kuna siku haki ingetendeka tu, bila shaka lingekuwa swala la muda tu. Kwani Jiwe ni nani bhana? Angekaa madarakani muda wote?
Ukumbuke alieshukuru ni Sugu mwenyewe tena bila shurti.Labda kama wewe unalijua zaidi swala la hotel ya Sugu kuliko Sugu mwenyewe utuelezeYaani Sugu amefuata taratibu.na sheria zote kujenga hoteli yake, leo anaonekana shujaa yule aliesema hoteli isibomolewe, na chakushangaza zaidi, wavivu wa kifikiria wanamuona shujaa alietoa tamko hoteli isibomolewe!.
Naona kama taifa tunaanza kurudi nyuma sasa, sio kiuchumi na mambo mengine pekee kama utawala bora, bali hata uwezo wetu wa kufikiri nao umeathiriwa na awamu hii ya tano.
Docter ndio nini?Kwahiyo hata ukienda hospitali haumuamini hata Docter?(binaadamu)
Utasubiri sana, kwani Magu akitumia kodi za watanzania kuleta maendeleo kwa kufuata utaratibu CHADEMA wana shida? Don't miss the point, CCM ni chama tu, na Magu ni bindamu kama wewe anaenda chooni kama wewe kukata gogo na kuna siku isiyokuwa na jina nafsi yake itaonja umauti vilevile na Tanzania itabaki pale pale. Yaani tuache kumtukuza Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi tuanze kumtukuza Magu. Kama unajitambua utakuwa umenielewa!Wakati Rais Magufuli akiwa ziarani Mbeya mwaka jana Sugu alipanda kwenye gari ya mh Rais na kupewa kipaza sauti kisha akawatangazia wana Mbeya kwamba anamuunga mkono Rais Magufuli kwa 100%
Sitashangaa kumuona Sugu CCM!
Mambo kama hayo ya kutofuata taratibu na mtu mmoja kuamua kuwa juu ya katiba yakifanyika kwenye vyama vyenu vya siasa hamkemei ndio kwanza mnashabikia tu.
Sijawahi kumwamini binadamu
Kushukuru ni jambo jemaMakamanda uchwara wataita huo ni usaliti.
Kuna wabongo wana roho mbaya jelous imewatawala wao kutwa kuwaaribia watu mipango yaoHalisi kabisa mkuu
Hatareee[emoji848]Create problem + then solve it =Hero
Wambieni hao wengine waigeMarais wanapeana pongezi kwa uwekezaji na shukrani kwa kuulinda uwekezaji
Maendeleo hayana vyama
Sayari ya Chato.Wakati wanajenga hao NEMC walikuwa sayari gani
Shukrani hizo zimekuja baada ya mheshimiwa rais kumtuma mkuu wa mkoa wa Mbeya kuzuia ubomoaji wa hoteli ya Desderia iliyokua inadaiwa ujengwa eneo la chanzo cha maji
Rais Magufuli amesema Sugu kama muwekezaji aliyeamua kuwekeza mbeya pia apewe kipaumbele kwenye maeneo mengine ya uzunguni aweze kuendeleza uwekezaji
Maendeleo hayana vyama
Mbona maneno mengi bwashee?!!!Utasubiri sana, kwani Magu akitumia kodi za watanzania kuleta maendeleo kwa kufuata utaratibu CHADEMA wana shida? Don't miss the point, CCM ni chama tu, na Magu ni bindamu kama wewe anaenda chooni kama wewe kukata gogo na kuna siku isiyokuwa na jina nafsi yake itaonja umauti vilevile na Tanzania itabaki pale pale. Yaani tuache kumtukuza Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi tuanze kumtukuza Magu. Kama unajitambua utakuwa umenielewa!
Maneno mengi unaleta wewe na upumbavu wako wa kumtukuza binadamu aliyezaliwa na mwanamke kama wewe.Mbona maneno mengi bwashee?!!!
Hapo Chadema asiyeitamani CCM ni Tundu Lisu pekee waliobaki wote mnafanana na Halima James Mdee!
Ngozi nyeusi tuna roho mbaya sanaRais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa.
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri.
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika.
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine.
Maendeleo hayana chama
View attachment 1659613
Aliyeshukuru kwa RC Albert Chalamila ni mbunge mstaafu wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu.Maneno mengi unaleta wewe na upumbavu wako wa kumtukuza binadamu aliyezaliwa na mwanamke kama wewe.
Yale yale ya kikokotoo.Kawatuma watu wake watikise na kupima upepo kisha anajitokeza kuagiza vinginevyo.Kiki za hovyo kabisa!Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa.
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri.
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika.
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine.
Maendeleo hayana chama
Kwa hiyo akishukuru tayari anamkubali Jiwe siyo? CCM mnafeli wapi?Aliyeshukuru kwa RC Albert Chalamila ni mbunge mstaafu wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu.
Kama hutaki kunywa pipa la mbege kwa hasira!
Issue siyokubomolewa au kuachwa, issue ni sheria na taratibu tulizojiwekea.Ingebomolewa ungesema ni uonevu sasa haijabomolewa unatukana. Hivi ulitaka nini haswa?
Rais wetu ni wa kila chama, kila kabila, kila dini, kila rangi, kila mkoa
Nchi yetu sio takataka mkuu ila mawazo yako uliyoyaandika hapa ndio takataka