Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Wakati Rais Magufuli akiwa ziarani Mbeya mwaka jana Sugu alipanda kwenye gari ya mh Rais na kupewa kipaza sauti kisha akawatangazia wana Mbeya kwamba anamuunga mkono Rais Magufuli kwa 100%

Sitashangaa kumuona Sugu CCM!
 
Ukumbuke alieshukuru ni Sugu mwenyewe tena bila shurti.Labda kama wewe unalijua zaidi swala la hotel ya Sugu kuliko Sugu mwenyewe utueleze
 
Wakati Rais Magufuli akiwa ziarani Mbeya mwaka jana Sugu alipanda kwenye gari ya mh Rais na kupewa kipaza sauti kisha akawatangazia wana Mbeya kwamba anamuunga mkono Rais Magufuli kwa 100%

Sitashangaa kumuona Sugu CCM!
Utasubiri sana, kwani Magu akitumia kodi za watanzania kuleta maendeleo kwa kufuata utaratibu CHADEMA wana shida? Don't miss the point, CCM ni chama tu, na Magu ni bindamu kama wewe anaenda chooni kama wewe kukata gogo na kuna siku isiyokuwa na jina nafsi yake itaonja umauti vilevile na Tanzania itabaki pale pale. Yaani tuache kumtukuza Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi tuanze kumtukuza Magu. Kama unajitambua utakuwa umenielewa!
 
Tanzania sio nchi tena tumeshuka mpaka kuwa familia, ni mwendo wa maagizo tu hata kama hayafuati utaratibu ila ni maagizo tu
 
Mambo kama hayo ya kutofuata taratibu na mtu mmoja kuamua kuwa juu ya katiba yakifanyika kwenye vyama vyenu vya siasa hamkemei ndio kwanza mnashabikia tu.

Weka mfano ili tuanzie hapo.
 
Makamanda uchwara wataita huo ni usaliti.
Kushukuru ni jambo jema
Ila watanzania wajifunze kupitia sugu
Wawekeze nyumbani maana kna mijitu inakwapua hela inaficha nje hela zingine wanakula na familia yao

Ova
 

Utamaduni mpya wa kupenda kiki walitaka kumfanyia ya Mbowe ili wapewe vyeo lakini wameona itakuwa wazi sana
 
Mbona maneno mengi bwashee?!!!

Hapo Chadema asiyeitamani CCM ni Tundu Lisu pekee waliobaki wote mnafanana na Halima James Mdee!
 
Mbona maneno mengi bwashee?!!!

Hapo Chadema asiyeitamani CCM ni Tundu Lisu pekee waliobaki wote mnafanana na Halima James Mdee!
Maneno mengi unaleta wewe na upumbavu wako wa kumtukuza binadamu aliyezaliwa na mwanamke kama wewe.
 
Nime
Ngozi nyeusi tuna roho mbaya sana
 
Maneno mengi unaleta wewe na upumbavu wako wa kumtukuza binadamu aliyezaliwa na mwanamke kama wewe.
Aliyeshukuru kwa RC Albert Chalamila ni mbunge mstaafu wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu.

Kama hutaki kunywa pipa la mbege kwa hasira!
 
Yale yale ya kikokotoo.Kawatuma watu wake watikise na kupima upepo kisha anajitokeza kuagiza vinginevyo.Kiki za hovyo kabisa!
 
Aliyeshukuru kwa RC Albert Chalamila ni mbunge mstaafu wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu.

Kama hutaki kunywa pipa la mbege kwa hasira!
Kwa hiyo akishukuru tayari anamkubali Jiwe siyo? CCM mnafeli wapi?
 
Ingebomolewa ungesema ni uonevu sasa haijabomolewa unatukana. Hivi ulitaka nini haswa?

Rais wetu ni wa kila chama, kila kabila, kila dini, kila rangi, kila mkoa

Nchi yetu sio takataka mkuu ila mawazo yako uliyoyaandika hapa ndio takataka
Issue siyokubomolewa au kuachwa, issue ni sheria na taratibu tulizojiwekea.

Hata huyo Magu anatakiwa kufuata taratibu na sheria. Ndio maana sheria zipo mpaka namna ya kusamehe wafungwa.

Sasa yeye aseme, Sugu alikiuka taratibu zipi wakati wa ujenzi na hao NEMC walikuwa wapi wakati anajenga?

Huyo Magu anaesema kwa HISANI YAKE tu kwamba Jengo lisibomolewe kwahiyo siku akikosana na Sugu wanabomoa ???

Anyway, hivi ile nyumba ya Marehemu Mch Rwakatale mlishabomoa.


RIP UTAWALA WA SHERIA. Mamboya Cherry Picking.

Watu wa Kimara, bomoa Nyumba hata kama wana COURT INJUCTION, watu wa Airport Mwanza hao msibomoe ndio walinipa KULA.

Aibu ya MTU MWEUSI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…