johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Rais Magufuli akiwa ziarani Mbeya mwaka jana Sugu alipanda kwenye gari ya mh Rais na kupewa kipaza sauti kisha akawatangazia wana Mbeya kwamba anamuunga mkono Rais Magufuli kwa 100%Siyo kweli, Jiwe linatafuta kick tu, Sugu kasema hotel imejengwa kwa kufuata vibali vyote. Na kama hao mburula wangeamua kuvunja ni ukweli husiotia shaka Sugu angefungua kesi mahakamani na hata mahakama ingemuabudu Jiwe kuna siku haki ingetendeka tu, bila shaka lingekuwa swala la muda tu. Kwani Jiwe ni nani bhana? Angekaa madarakani muda wote?
Sitashangaa kumuona Sugu CCM!