Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Watu wa Mipango Miji nchi hii nadhani ndio idara inashida zaidi..Masquatter ni kila sehemu katika nchi hii.unashindwa kuelewa hawa jamaa huwa wapo kweli kazini???
 
denooJ
Tuliona jinsi DC aliyepita wa Hai, Mnyeti namna "alivyomsulubu" Mbowe

Mnyeti hajawahi kuwa DC wa HAI


Unayemzungumzia wewe ni mkuu wa mkoa wa Mtwara sasa Bw Gelasius Byakanwa ambaye ndie amewahi kuwa DC wa Hai
 
Hapa Jiwe anatuonesha kua yeye ndo kila kitu akiamua itabomolewa naasipoamua haitabomolewa...kazi kweli kweli alichokua anakitaka tu ashukuriwe.
 
Wazo la kubomoa hoteli ya sugu lilianzia katika inner circle zao gvt na CCM hivyo hata wazo la kutokuibomoa limetoka kwao na sababu zaweza kuwa hizi.

1.Wamepima upepo wa kisasi wawatu wa mbeya Kama wangebomoa hiyo hotel.

2. Kupata political mileage ndio ile twasema tengeneza tatizo Kisha litatue upate maujiko.
 
Sasa hili swala linamhusuje rais mpaka yeye ndiye aingilie kwa kuagiza isibomolewe kwani alijengaje kama ujenzi kwenye eneo hilo ilikuwa hairuhusiwi kwani ina maana hakuwa na hati.

Mambo mengine yanatengenezwa tu ili watu wengine wapate kiki za kipuuzi na labda ili huyo anayetaka kubomolewa nyumba afikirie kubadili msimamo wake wa kisiasa. Nothing more.

Hii ndio kazi inayofanywa na huu utawala ni Blackmails tu na wala haina ajenda yoyote ya kuiletea nchi hii maendeleo. Bure kabisa.
 
Angezuia na billicanas isivunjwe au ndio anajisafisha kwa wananchi tumuone mpenda haki na mwenye huruma.....
 
Huu ni mchango bora wa mwaka kwa kweli. Ni wachache wanaweza kumpatia magu kaushauri kenye masimango ndani yake.
 
Huenda Chalamila ndiye aliunda Zengwe la hiyo Hotel kutaka kubomolewa
 
Haaa imeisha iyoo.
hapo Sugu kalainishwa tayari,tena ameshatoa na shukrani za dhati kwa muheshimiwa Rais ambae awali akutambua ushindi wake.
Tuhesabu siku.
Akuna mkate mgumu mbele ya chai.
Pale inapofikia nchi kuendeshwa kwa haramu na vitisho na baadhi ya wajinga kuona Ni halali na ujanja.
 
Mh JPM kafanya kweli na Mungu analiona hili.
Kuna wafanya kazi serikalini kazi yao ni kukomoa biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…