Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Sio Msukuma ni Sugu wa Chadema.Mwenye hotel ni lazima ni msukuma/ mfadhili mkuu wa chama cha Jiwe!
Ukiwa msukuma huwezi bomolewa wwe ni mpiga kura ukuona wa Kanda ya ziwa hawakubomolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Msukuma ni Sugu wa Chadema.Mwenye hotel ni lazima ni msukuma/ mfadhili mkuu wa chama cha Jiwe!
Lengo ilikuwa kumukomoa Sungu sababu ni mpinzaniNemc hivi wanajielewa kweli ifike hatua mambo ya kipumbavu wasiwe wanatueleza
Yaan mtu anunue eneo wanamuangalia tu aanze kujenga wanamtazama tu amalize ujenzi wapo tu then wanakuja kutueleza mtu yupo ndani ya hifadhi ya maji
Siku zote walikua wapi
Na je inafaida gani kuita vyombo vya habari na kutueleza hayo
Sisi watanzania wengine hatutaki uiinga huo wamalizane wenyewe huko
Ungeijua nguvu nyuma ya zuio hili wala usingepayuka, RC ni miongoni mwa watuhumiwaMpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
Huku africa hatunaga taasisi imara, chochote kinaweza kuwa sawa ama si sawa kulingana na kiongoz mkuu wa nchi husika ana mtazamo gan au anataka nn.Tunaishi kwa hisani ya jiwe na siyo sheria na taratibu za nchi
Fidia huwa hawalipiDaniel mgogo ktk moja ya hotuba yake mbele ya John Joseph alipata kumwambiwa kuwa
Serikali inatoa kubali eneo fulani kujengwe jengo fulani.
Serikali hiyohiyo inakuja kustuka kuwa alaah kumbe hapa tulipaswa kupitisha nyayak za umeme wanakuja kubomoa.
Akatoa ushauri kuwa ni vyema kuhakikisha unapotoa vibali ujue kabisa miaka 40 ama 50 mbele eneo hilo litakuwaje. Isije kuwa serikali ya kujenga na kubomoa na kulipana fidia.
Mkuu wa mkoa ashapinga hiloHotel Desderia si ndio ya Sugu? Hivi wakimvunjia wanapata faida gani zaidi ya kumtia hasara mwenye hoteli pamoja na kuwafanya watu wapoteze ajira zso na serikali kukosa kodi?
Inabdi wawe na tahadhari sana toka ule uamuzi uliopitishwa na mahakama, hakuna anaetaka kwenda jela!Jf imeanza kupoteza ladha kwa kufuta futa nyuzi
Kumbe ni Sugu!! Walitaka kumkoa.!Mwenye hotel ni lazima ni msukuma/ mfadhili mkuu wa chama cha Jiwe!
Sasa hapa Magufuli apewe Hongera ya nini?Toa hongera wewe, acha hizo longolongo za ufipa.
Rais na Rc kweli tuwapongeze na inaelekea bado huko serikalini kuna watendaji wa ovyo!Mpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
Hongera ya nn?? Tatizo ulitengeneze ww kwa kukurupuka halafu unakuja kivingine upewe hongera?? Upuuzi mtupu kiki zimewashia.Toa hongera wewe, acha hizo longolongo za ufipa.
Nemc wanafanyaga mambo ya ajabu sana tuNemc hivi wanajielewa kweli ifike hatua mambo ya kipumbavu wasiwe wanatueleza
Yaan mtu anunue eneo wanamuangalia tu aanze kujenga wanamtazama tu amalize ujenzi wapo tu then wanakuja kutueleza mtu yupo ndani ya hifadhi ya maji
Siku zote walikua wapi
Na je inafaida gani kuita vyombo vya habari na kutueleza hayo
Sisi watanzania wengine hatutaki uiinga huo wamalizane wenyewe huko
Huwenda mjengaji aliwapa mulungula halafu akajenga kibabe. Na hiii kusamehewa, inawezekana mumiliki amekubali yaishe kwa kuunga juhudiii.haaaa haaaaaaWakati wanajenga hao NEMC walikuwa sayari gani
Ni cinema hii bwana mdogo, bali imekopiwa vibaya ni wachachee watang'amua. (Tim inayoanzisha tatizo ndio inayohimisha)Mpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
Kuzuia kubomolewaSasa hapa Magufuli apewe Hongera ya nini?
Kwani waliotoa kubali ni akina nani? Au Magufuli sio Mtumishi wa Serikali?