Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Nemc hivi wanajielewa kweli ifike hatua mambo ya kipumbavu wasiwe wanatueleza
Yaan mtu anunue eneo wanamuangalia tu aanze kujenga wanamtazama tu amalize ujenzi wapo tu then wanakuja kutueleza mtu yupo ndani ya hifadhi ya maji
Siku zote walikua wapi
Na je inafaida gani kuita vyombo vya habari na kutueleza hayo
Sisi watanzania wengine hatutaki uiinga huo wamalizane wenyewe huko
Lengo ilikuwa kumukomoa Sungu sababu ni mpinzani
 
Daniel mgogo ktk moja ya hotuba yake mbele ya John Joseph alipata kumwambiwa kuwa

Serikali inatoa kubali eneo fulani kujengwe jengo fulani.

Serikali hiyohiyo inakuja kustuka kuwa alaah kumbe hapa tulipaswa kupitisha nyayak za umeme wanakuja kubomoa.

Akatoa ushauri kuwa ni vyema kuhakikisha unapotoa vibali ujue kabisa miaka 40 ama 50 mbele eneo hilo litakuwaje. Isije kuwa serikali ya kujenga na kubomoa na kulipana fidia.
Fidia huwa hawalipi
 
Hotel Desderia si ndio ya Sugu? Hivi wakimvunjia wanapata faida gani zaidi ya kumtia hasara mwenye hoteli pamoja na kuwafanya watu wapoteze ajira zso na serikali kukosa kodi?
Mkuu wa mkoa ashapinga hilo
Kweli tumpe pongezi RC na rais kwa kuzuia hilo
Maana mbona wakati inajengwa alifata taratibu zote

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nemc hivi wanajielewa kweli ifike hatua mambo ya kipumbavu wasiwe wanatueleza
Yaan mtu anunue eneo wanamuangalia tu aanze kujenga wanamtazama tu amalize ujenzi wapo tu then wanakuja kutueleza mtu yupo ndani ya hifadhi ya maji
Siku zote walikua wapi
Na je inafaida gani kuita vyombo vya habari na kutueleza hayo
Sisi watanzania wengine hatutaki uiinga huo wamalizane wenyewe huko
Nemc wanafanyaga mambo ya ajabu sana tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Asante mhe. Rais, ngoja sasa tuwasikie wazee wa kupinga wanasemaje.
 
Back
Top Bottom