Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mimi ninapowalaani kila siku mnaniona kidudumtu mpaka yawakute nyie! Niliweka habari inayowahusu watanzania lakini wakaitupa kwenye kimataifa, kosa kunajina la nchi jirani! China wakiisifu CCM habari hiyo haitupwi kwenye kimataifa, kisa inawahusu.Jf imeanza kupoteza ladha kwa kufuta futa nyuzi
2011 siasa za visasi zilikuwa hazijaanzaNilifanya environment appraisal ya hii hotel far back 2011 na NEMC haohao waliaprove na ikapewa mkopo na benki.
Kutaka kuivunja ni uchawi wa nchi hii ambao ni ujinga wa hali ya juu.
Unapaje hongera serikali dhalimu inayotoa kibali Leo halafu kesho inaharamisha kibali hicho hicho?Mpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
Usitokwe povu mkuu!, Hii ni movie na wahusika wote wanajua wanachokifanya.Nemc hivi wanajielewa kweli ifike hatua mambo ya kipumbavu wasiwe wanatueleza
Yaan mtu anunue eneo wanamuangalia tu aanze kujenga wanamtazama tu amalize ujenzi wapo tu then wanakuja kutueleza mtu yupo ndani ya hifadhi ya maji
Siku zote walikua wapi
Na je inafaida gani kuita vyombo vya habari na kutueleza hayo
Sisi watanzania wengine hatutaki uiinga huo wamalizane wenyewe huko
Halafu kesho kutwa inahalalisha.Unapaje hongera serikali dhalimu inayotoa kibali Leo halafu kesho inaharamisha kibali hicho hicho?
'mrangi', au nimekufananisha na mtu mwingine aliyemo humu JF? Yule hawezi kuwa 'naive' kiasi hiki!Rais na Rc kweli tuwapongeze na inaelekea bado huko serikalini kuna watendaji wa ovyo!
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Shangazi yako kawekeza Ohio au Kinondoni?Just being curious:
1. Ile ya Mbowe bado ipo?
2. Lissu alishawekeza cho chote nchini hapa?
Sugu karibu ccm Mwekezaji Sugu, tuijenge nchi yetu. Maendeleo hayana chama.
Haujamuelewa, wote ni wamoja.Na wewe ndio mmoja wa wanaccm fukara wa mali mpka akili,njoo nikupe kibarua za kukamua ngombe wangu
Upuuzi Kama huu,yaani wanatengeneza tatizo,harafu wanalitatua wenyewe,harafu wanataka tushangilie.Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine
Maendeleo hayana chama
Muda sii mrefu sugu ataunga juhudi maana ataitwa kimya kimya aulizwe"unaungana nasi au hutaki?:Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine
Maendeleo hayana chama
LHao NEMC wakati inajengwa walikuwa wapi? Maendeleo hayana chama jamani
Tusiyoyajua mkuu.Upuuzi Kama huu,yaani wanatengeneza tatizo,harafu wanalitatua wenyewe,harafu wanataka tushangilie.
Hapana.Muda sii mrefu sugu ataunga juhudi maana ataitwa kimya kimya aulizwe"unaungana nasi au hutaki?:
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADeMA lazima hoteli ivvunjwe na apewe kosa la uhujumu uchumiRais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine
Maendeleo hayana chama
Hapa Kuna game linachezwa,Lumumba wanamtumia Mh Sugu ishara kwamba,tumekufikia,yaani hata nje ya bunge tukitaka kukubananisha tunaweza,Tusiyoyajua mkuu.
Itashangaza kidogo kama Sugu kalainishwa kiaina...; lakini nashindwa kuamini kwamba Sugu anaweza kulainishwa. Tusubiri muda utasema.
Ni suala la mda tuu subiri uoneHapana.
Usiende haraka kiasi hicho. Kuna watu wasiokuwa na bei. Sugu kama Mbowe hawana bei.
Vp msambwanda anao lkn [emoji23][emoji23][emoji23]NEMC hii zero kabisa....kuna limama bonge pale fisadi la kufa mtu... unashangaa mpaka Leo lipo lipo tu...halikamatwi.
pa
L