Hivi huko ndio kule nasikia wanataka kutaifisha ranch za mawaziri wa zamaniungeijua nguvu nyuma ya zuio hili wala usingepayuka , RC ni miongoni mwa watuhumiwa
Apewe hongera ya nini?Mpe hongera Magufuli sasa, mbona unajifanya hilo nalo hulioni eti kwa sababu tu wewe ni kamanda uchwara?
Hakutakuja kutokea jambo hiloTusiyoyajua mkuu.
Itashangaza kidogo kama Sugu kalainishwa kiaina...; lakini nashindwa kuamini kwamba Sugu anaweza kulainishwa. Tusubiri muda utasema.
WalumumbaUtopolo.
Fidia huwa hawalipi
Ninakubaliana nawe sehemu kubwa; kasoro hiyo ya "Lumumba".Hapa Kuna game linachezwa,Lumumba wanamtumia Mh Sugu ishara kwamba,tumekufikia,yaani hata nje ya bunge tukitaka kukubananisha tunaweza,
Hii nchi,badala ya CCM kutatua kero kibao zilizojaa,hata vyumba vya madarasa ya shule za msingi hatuna vya kutosha,Tena kiwango Cha saint kayumba,!!Lumumba,wanaendekeza ubabe usio na tija.
Mbegu aliyopanda magufuli inaota kwa kasi sanaRais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa.
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri.
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika.
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine.
Maendeleo hayana chama
PlutoWakati wanajenga hao NEMC walikuwa sayari gani
Nilifanya environment appraisal ya hii hotel far back 2011 na NEMC haohao waliaprove na ikapewa mkopo na benki.
Kutaka kuivunja ni uchawi wa nchi hii ambao ni ujinga wa hali ya juu.
Watu wafanye uwekezaji wa ndani syo watu wanapiga hela wanaficha nje na kula familia zaoUtopolo.
Sugu sahv anangalia maisha yake na biashara zake mzee mambo mengine utapoteaaMuda sii mrefu sugu ataunga juhudi maana ataitwa kimya kimya aulizwe"unaungana nasi au hutaki?:
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepigilia msumari panapotakiwa. Hizi ndiyo show off zake anazozipenda. Anataka kila raia aishi kwa kudra zake.Aone "kuwa ni tatizo"?
Mkuu nadhani huelewi yeye ni mtu wa aina gani. Vitu kama hivi ndivyo anavyopenda ili kujizolea sifa kwa wasiojua kitu.
Umewai fika hotel iyo na chanzo cha maji wanacho kuzungumzia unafahamu kilipo anziaToa hongera wewe, acha hizo longolongo za ufipa.
Shangazi yangu hajawahi kupata hiyo fursa ya kuwa mbunge kwa miaka 15 mfululizo au kuwa mtetezi wa kampuni ya acasia. Tunachoshangaa ni mtu aliyewahi kupata fursa kama hizo lakini hana cho chote alichowekeza hapa nchini na baada ya kukosa kuendelea na fursa hizo anaamua kuishi maisha ya ukimbzi nje ya nchi.Shangazi yako kawekeza Ohio au Kinondoni?