Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

images (12).jpeg
Msema kweli mpenzi wa Mungu, Magufuli ametenda haki, Au uongo Ndugu zangu??!!
 
Kwahiyo hapo inabidi amwabudu sana Magu, kwamba bila yeye hotel inabomolewa.

Hii nchi ni takataka, imejaa vibwengo wanaopenda kuabudiwa sana.

Ingebomolewa ungesema ni uonevu sasa haijabomolewa unatukana. Hivi ulitaka nini haswa?

Rais wetu ni wa kila chama, kila kabila, kila dini, kila rangi, kila mkoa

Nchi yetu sio takataka mkuu ila mawazo yako uliyoyaandika hapa ndio takataka
 
Ndugu Yangu Suguuu!
Jifunze kuwa na Diplomasia ya Kiafrika, Umeingia kwenye biashara sharti uachane na Uanaharakati hizo mbwembwe zako za kuanza Kujidai Oooooooh Makaratasi yote ninayo hazina mantiki wala tija yoyote just play low brother huwezi pungukiwa na kitu. Achana na jeuri, Ubabe na Uanaharakati chagua kimoja. Tunajua Wanyaki ni Jeuri lkn ukiendekeza hizo swagga zako za Kijuaji ippo siku utabaki na makaratasi yako na hoteli imevunjwaaaa.
Ni hayo tuuuu, we endelea kujimwambafai ooooh makaratasi yote ninayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni sehemu ya watu wapumbavu.

Sugu siyo mnyakyusa, hakuna mnyakyusa anaitwa Mbilinyi.

Na mtu makaratasi anayo wewe ulitaka aseme vipi?

Ukijisikia kujambajamba nenda Facebook na siyo JF.
 
Shukrani hizo zimekuja baada ya mheshimiwa rais kumtuma mkuu wa mkoa wa Mbeya kuzuia ubomoaji wa hoteli ya Desderia iliyokua inadaiwa ujengwa eneo la chanzo cha maji

Rais Magufuli amesema Sugu kama muwekezaji aliyeamua kuwekeza mbeya pia apewe kipaumbele kwenye maeneo mengine ya uzunguni aweze kuendeleza uwekezaji

Maendeleo hayana vyama
Vipi kuhusu matokeo ya uchaguzi? Ameyakubali? Hakuibiwa kura kama makamanda wanavyodai?
 
Create the problem then solve it. Aliyemwagiza aibomoe ndye aliteagiza isibomolewe. Fulstop
 
Haaa imeisha iyoo.
hapo Sugu kalainishwa tayari,tena ameshatoa na shukrani za dhati kwa muheshimiwa Rais ambae awali akutambua ushindi wake.
Tuhesabu siku.
Akuna mkate mgumu mbele ya chai.
Unashangilia Udhalimu ....Kuna watu mnaunasaba na Shetani aisee!
 
Hii hali ya maamuzi mengi tena mengine madogo madogo kufanywa na rais inaonyesha nchi iko kwenye hali mbaya sana. Rais amekuwa ndiye Katiba na sheria za nchi. Kwa nini nchi imeingia kwenye mtego mbaya namna hii? Kila kitu anaangaliwa rais. Hivi hata yeye haoni kuwa ni tatizo kubwa sana? Tumepata hasara kubwa sana.
Kwa kibeberu wanaita one man show
 
Magufuli apewe hongera badala ya kuangalia mapungufu ya sheria?
Hakuna kisicho na mapungufu, na hakuna kinachoweza kuzuia personal vendetta kwenye life except system intervention

Magufuli hawezi Tu kutoa tamko, system.imempa taarifa nzuri

Kinachosikitisha ni Kwamba hata vitu vidogo kama.uwekezaji wa hotel unahitaji intervention ya core system

Sielewi

Nimependa mkuu wa mkoa alivyodeliver message
 
Back
Top Bottom