Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaipata?Tunataka taasisi isiyofungamana na upande wowote!!
hapa nampa pongezi mh.magufuli kwa uteuzi wa mkurugenzi mpya wa TISS mr.kipilimbi ni mcha MUNGU na amekua akijihusisha sana. na kazi za kumtumikia muumba wake....inshort ni mcha MUNGU vibaya mnoRAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MKURUGENZI MKUU MPYA WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA
![]()
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kipilimba akila kiapo cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016![]()
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli akimkabidhi kitendea kazi Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kipilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016
![]()
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kipilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016.Kushoto akisimamia zoezi hilo ni Kamishina wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Salome Kaganda.
![]()
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe George Masaju na Katibu Mkuu kiongozi Engineer John Kijazi katika picha ya pamoja na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya kuapishwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kipilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016![]()
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya kuapishwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kipilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016.
Chanzo: Michuzi Blog
msaada tafadhali. Wa kwanza kutoka kulia mwanamama ni mkuu Wa nini? Je na huyo anaemfuatia ni mkuu Wa nini? Hao wengine kwaanzia Mangu, mheshimiwa Rais, Kipilimba, Mwamunyange na mkuu wamagereza nawafahan nyadhifa zao. Msaada Hao wawili kutoka kulia dhadhifa zao.Wazee hao wa kuhakikisha nchi iko salama full time 24 hours.Hawalali wanakesha kuhakikisha sisi raia tunalala usingizi mnono.Kikosi kizima hicho hapo.Mwenyezi Mungu awabariki sana tena sana kwa kazi yenu iliyotukuka mnayofanya.
![]()
Sahihi kabisa. Wao wanataka kuharibu, sisi tunajenga
msaada tafadhali. Wa kwanza kutoka kulia mwanamama ni mkuu Wa nini? Je na huyo anaemfuatia ni mkuu Wa nini? Hao wengine kwaanzia Mangu, mheshimiwa Rais, Kipilimba, Mwamunyange na mkuu wamagereza nawafahan nyadhifa zao. Msaada Hao wawili kutoka kulia dhadhifa zao.
Natanguliza Shukrani
Vick Lembeli mwanamama aliyevaa nguo za rangi ya dark blue ni Kaimu Kamishna jenerali wa Uhamiaji,Thobias Andengenye ni kamishna jenerali wa Zimamoto.Huyo mmama anawakilisha Uhamiaji, sijui kama ndo mkuu wa Uhamiaji.
Huyo wa kulia kwake ni kamishna wa zimamoto nchini.
asante mkuuHuyo mmama anawakilisha Uhamiaji, sijui kama ndo mkuu wa Uhamiaji.
Huyo wa kulia kwake ni kamishna wa zimamoto nchini.
ila na wewe acha kutumika ka.tambara bovuHongera yake
Yaani wewe kila kitu ni 'ndiooo' tu, hivi akili yako inaweza kupambanua mambo kweli?Mkuu, mimi ni mzalendo kweli kweli. Najitolea kufanya haya kwa nguvu zangu zote