Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Ukuta utaleta viwanda.Kha! Tunataka viwanda alivyoviahidi na sio mapicha picha, hayo mapicha na mateuzi yataleta viwanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukuta utaleta viwanda.Kha! Tunataka viwanda alivyoviahidi na sio mapicha picha, hayo mapicha na mateuzi yataleta viwanda?
Nenda Mmbande ukalale usingiziSafi sana. Chini ya hawa watu tuna kila sababu ya kulala usingizi
Kutoka kulia ni Mkuu wa uhamiaji akifuatiwa na Mkuu wa Zimamoto Bwana Andengenyemsaada tafadhali. Wa kwanza kutoka kulia mwanamama ni mkuu Wa nini? Je na huyo anaemfuatia ni mkuu Wa nini? Hao wengine kwaanzia Mangu, mheshimiwa Rais, Kipilimba, Mwamunyange na mkuu wamagereza nawafahan nyadhifa zao. Msaada Hao wawili kutoka kulia dhadhifa zao.
Natanguliza Shukrani
thanks broKutoka kulia ni Mkuu wa uhamiaji akifuatiwa na Mkuu wa Zimamoto Bwana Andengenye
Si kazi ya UKUTA kuleta viwanda na wala hawakuwa na sera hizoUkuta utaleta viwanda.
Unataka taasisi isiyofungamana na upande wowote au inayofungamana na pande zote?. Isiyofungamana na upande wowote, itatoa wapi mamlaka yake?Tunataka taasisi isiyofungamana na upande wowote!!
Watu wa Morogoro uswekeni.Uyo kipilimi ni kabila gani
Inayofanya Kazi Bila Kusukumwa Na Mahaba Ya Upande Mmoja TuTunataka taasisi isiyofungamana na upande wowote!!
Inayofanya Kazi Bila Kusukumwa Na Mahaba Ya Upande Mmoja TuTunataka taasisi isiyofungamana na upande wowote!!