Rais Magufuli amuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dr. Modestus Kipilimba

Huyu nae alikuwa pandikizi! Amewafanyia kazi nzuri tume ya uchaguzi NEC sasa amepewa zawadi yake ya kustaafia!! Hongera Dr....kazi na malipo yake
 
Tanzania regime... Tenda wema uende zako...

Huyu si katokea kule kwenye kshfya ya Vitambulisho? mmmh Mbona kama Mambo ni yale yale kosea huku pelekwa kule ukaharibu nako
 
Kha! Tunataka viwanda alivyoviahidi na sio mapicha picha, hayo mapicha na mateuzi yataleta viwanda?
 
Amani ni tunu ya pekee ya Taifa letu.

Mungu amtangulie, haya ni maombi yangu kwake.
 
Naipenda Tanzania yangu pamoja Na figusi zake.!
 
hapa nampa pongezi mh.magufuli kwa uteuzi wa mkurugenzi mpya wa TISS mr.kipilimbi ni mcha MUNGU na amekua akijihusisha sana. na kazi za kumtumikia muumba wake....inshort ni mcha MUNGU vibaya mno
 
Wazee hao wa kuhakikisha nchi iko salama full time 24 hours.Hawalali wanakesha kuhakikisha sisi raia tunalala usingizi mnono.Kikosi kizima hicho hapo.Mwenyezi Mungu awabariki sana tena sana kwa kazi yenu iliyotukuka mnayofanya.

msaada tafadhali. Wa kwanza kutoka kulia mwanamama ni mkuu Wa nini? Je na huyo anaemfuatia ni mkuu Wa nini? Hao wengine kwaanzia Mangu, mheshimiwa Rais, Kipilimba, Mwamunyange na mkuu wamagereza nawafahan nyadhifa zao. Msaada Hao wawili kutoka kulia dhadhifa zao.

Natanguliza Shukrani
 


Huyo mmama anawakilisha Uhamiaji, sijui kama ndo mkuu wa Uhamiaji.

Huyo wa kulia kwake ni kamishna wa zimamoto nchini.
 
Huyo mmama anawakilisha Uhamiaji, sijui kama ndo mkuu wa Uhamiaji.

Huyo wa kulia kwake ni kamishna wa zimamoto nchini.
Vick Lembeli mwanamama aliyevaa nguo za rangi ya dark blue ni Kaimu Kamishna jenerali wa Uhamiaji,Thobias Andengenye ni kamishna jenerali wa Zimamoto.
 
hapa nampa pongezi mh.magufuli kwa uteuzi wa mkurugenzi mpya wa TISS mr.kipilimbi ni mcha MUNGU na amekua akijihusisha sana. na kazi za kumtumikia muumba wake....inshort ni mcha MUNGU vibaya mno
Hongera yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…