Rais Magufuli amuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dr. Modestus Kipilimba

Kutoka kulia ni Mkuu wa uhamiaji akifuatiwa na Mkuu wa Zimamoto Bwana Andengenye
 
Very good...!! Sasa waende Kagera mpakani raia kule wanauawa hovyo na askari wa Rwanda
 
Hivyo viapo..havina maana, wanaapishwa then wanatenda kinyume na kiapo...huyu jamaa ni sheeda!


Swissyou
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…