Uchaguzi 2020 Rais Magufuli anafanya makusudi kutokuidhibiti Corona ili waangalizi wa uchaguzi mkuu wasije nchini mwezi Oktoba

Uchumi nasikia sasa tukaribia 3%
Kabisa Mkuu, na sababu nyingine umesahau ni kuunusuru uchumi tusije kujikuta tumewakaribisha corona na njaa kwa wakati mmoja.
 
Shetani hubuni mbinu za kishetani daima.Fursa kwake imejitokeza na visheria vya kinga kapitisha.Twafa!
 
Mbona mnaweweseka?

Mlianza kusema tindu lissu anashinda [emoji28]

Mkasema bila tume mnayoitaka patachimbika[emoji28]

Leo imekuwa corona ?
We mlamba masaburi hivi ni lazima uchangie kila hoja humu? Membe aruhusiwe kuchukua fomu ili Mgufuli ajiridhishe namna anavyopendwa na kukubalika ndani ya chama chake.
 
Mwambie membe akachukue fomu
We mlamba masaburi hivi ni lazima uchangie kila hoja humu? Membe aruhusiwe kuchukua fomu ili Mgufuli ajiridhishe namna anavyopendwa na kukubalika ndani ya chama chake.
 
Nyumbu wa mtaa wa ufipa Ni shida ndio nini kuweweseka hivi [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Lowassa kila mwana sisiemu alikua nae...lowassa alikua zaidi ya membe!
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Mwambie membe akachukue fomu
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Hakuna wa kumzuia mwambie akachukue Mkuu
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…