johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli kuomba kuongeza mkataba wa kazi ni tofauti na kuomba kazi kwa mara ya kwanza.
Rais Magufuli ana sifa nyingi za ziada katika kinyang'anyiro cha urais ukilinganisha na washindani wake akina Lissu nk.
Dr Magufuli anazungumza habari ya "nimefanya" wakati Tundu Lissu anazungumza habari ya "nitafanya"
Dr Magufuli anazungumza kwa kutuonyesha ushuhuda na mifano lakini Tundu Lissu anazungumza kinadharia zaidi na hata tukienda pale Ufipa hatuoni mifano hata midogo midogi ya matumizi bora ya ruzuku.
Nitaendelea...
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli ana sifa nyingi za ziada katika kinyang'anyiro cha urais ukilinganisha na washindani wake akina Lissu nk.
Dr Magufuli anazungumza habari ya "nimefanya" wakati Tundu Lissu anazungumza habari ya "nitafanya"
Dr Magufuli anazungumza kwa kutuonyesha ushuhuda na mifano lakini Tundu Lissu anazungumza kinadharia zaidi na hata tukienda pale Ufipa hatuoni mifano hata midogo midogi ya matumizi bora ya ruzuku.
Nitaendelea...
Maendeleo hayana vyama!