Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Wataalamu wanasikilizwa ila wale walioelimika sio waliokaririshwa na utamaduni wa maghgaribi tu bila kuwa na uwezo wa kuitumia elimu yao kwa mazingira ya kTz!Kwa siasa hizi za kujenga maharaja,barabara,SGR na kutosikiliza wataalam zaidi ya waganga,akina Bashite nk kwa sasa mwanaume.Hata hii leo nikisema nimegundua chanjo serikali haina hizo interest. Emerging kuna watu walikuja na mchanganyiko wao wa lishe, yes NIMR wakaupitisha but still Rais akatuma ndege madagasca badala na yeye ku umarket wakwetu