Rais Magufuli aonesha uwezo mkubwa kwenye janga la Corona duniani

Rais Magufuli aonesha uwezo mkubwa kwenye janga la Corona duniani

Akili sijui ni finyu sana...huo utaratibu wa 1-3 ni wa kawaida sana ktk kupunguza maambukizi ya magojwa mbalimbali na ulikuwepo hata kabla ya hiyo WHO kuwepo! Ni malofa tu kama ww ndio unaweza fikiri huo ni ushauri wa WHO! Hata kabla ya kuzaliwa Kristo, huo ulikuwa utaratibu wa kawaida kabisa ktk kuepuka magonjwa ya kuambukiza kama ukoma nk!
Eti mataifa yenye akili, kwako unamaanisha wazungu eeh? Hao wazungu kwa taarifa yako sasa inabidi wajofunze kutoka kwa Tz, kwa Magu! Baada ya kukopi na kupesti anayofanya Magu, ninyi mnaokariri kuwa wazungu na WHO ndio wenye akili mtarudi tena kuunga mkono hoja kwa kuwa imepata 'approval' ya mabwana zenu!
Elimu ya kukariri ni hovyo sana!
Nayaita ni mataifa yenye akili kwa sababu hata kuvaa suruali umeiga kwao, wewe ulikuwa unavaa ngozi.

Hiyo Smartphone ambayo unaitumia kunitukana haijatengenezwa Tanganyika, wenye akili wametengeneza.

Wazungu watajifunza kuruka ungo kwetu hilo sina ubishi nalo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuwapima wamefaidika na nini...maana ndio vinara wa wahanga wacovid-19 kidunia kwa sasa! Massive testing kuna ipa unnecessary promo corona na kuongea hofu inayoua wengi zaidi kuliko corona yenyewe!
Eti anauliza baada ya kupima wamefaidika nini, sasa humu JF unafanya nini kama kichwa chenyewe ndio hiki.

Swali, baada ya kupima wenye ukimwi inasaidia nini, ukijibu tunaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo gani wewe jikinge watu wanakufa wewe.Angalia afya yako.Uwezo wa kutokupima watu?uwezo gani waliambia watu wafanye kazi unafanya kazi gani sasa na hayo mazao unamwuzia nano wakati utaki kufuata maelekezo ya kanuni za afya.

Yaani watalii mtawasikia Kenya nyie .Juzi WHO wameandika Tanzania ni kati ya nchi hatari za kutembelea .Mnachekeana tu.Ukiumwa au kuuguliwa ndio utaijua Tz na system iliyopo ya afya.
Upopo mbaya sana. Hivi na Corona hii watalii wenyewe wanaumwa kila nchi iko taabani halafu unaisema nchi yako eti wamesema nchi Hatari kutembelea hopeless kabisa.
Corona ipo kila nchi chukua taadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupima watu wote inawezekana kabisa.

Ni suala la kuwa na rasilimali za kutosha na dedicated staff yenye weledi na ari ya kuchapa kazi.

America wanaendelea kupima daily.. ni progressive. Sio kitu cha kupima sehem moja halafu unaacha.

Wanapima na wataendelea japo kuwa itachukua muda mrefu.
Na hawapimi wagonjwa tu. Hata wale ambao hawaonyeshi dalili.

WHO wametoa report juzi juzi kuwa 35% hawaonyeshi dalili japokuwa mdudu anakuwa ameshaingia ndani. Na wanatembea nae.
Mkuu kupima sio issue sana Namsapoti Trump katika hili
Unaweza ukapima Leo negative kesho ukawa positive, na unaweza kupima positive wakati uko negative, Huumwi wala huna chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti ni kubwa, Kenya wana data sisi hatuna. Watu wenye akili wataona ni afadhali kwenda Kenya kuliko Tanzania.

Je, umesikia waingereza wamewaondoa raia wao Kenya, na kuna waingereza wengi kuliko Tz, unafikiri kwa nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
So, you think Tanzania needs approval from UK to decide what's best for the country?
We call it Slave mentality, or Neo-colonialism.

Magufuli leads because he is a Great Leader with original thoughts, Uhuru Kenyatta is a follower waiting for instruction from Washington DC, London and from WHO HQ.
 
Mkuu kupima sio issue sana Namsapoti Trump katika hili
Unaweza ukapima Leo negative kesho ukawa positive, na unaweza kupima positive wakati uko negative, Huumwi wala huna chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani wataalam hawalifahamu hilo. Ndio maana kabla hawaja mruhusu mgonjwa. Kuna additional 14 days za kucheki . Wenzetu wana sense of responsbility.
Wakiona tofauti yoyote hurudi hospital bila kulazimishwa. + wanafanya contact tracing ya hali ya juu sana kuliko kawaida.
And trump hajapinga au kukataza upimaji. Unaendelea pale pale.
Upimajo una faida zake. Tena nyingi tu.
 
Unadhani wataalam hawalifahamu hilo. Ndio maana kabla hawaja mruhusu mgonjwa. Kuna additional 14 days za kucheki . Wenzetu wana sense of responsbility.
Wakiona tofauti yoyote hurudi hospital bila kulazimishwa. + wanafanya contact tracing ya hali ya juu sana kuliko kawaida.
And trump hajapinga au kukataza upimaji. Unaendelea pale pale.
Upimajo una faida zake. Tena nyingi tu.
Mkuu pamoja na kuwa wako lockdown na wanapima.kila Sikh unajua kwanini maambukizi hayaishi kila siku?
Tena maambukizi kwa watu wanaotumia Private cars!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So, you think Tanzania needs approval from UK to decide what's best for the country?
We call it Slave mentality, or Neo-colonialism.

Magufuli leads because he is a Great Leader with original thoughts, Uhuru Kenyatta is a follower waiting for instruction from Washington DC, London and from WHO HQ.
With all due respect i hate slave mentality. But i dont beleive uhuru kenyatta is leading kenya while taking orders from foreign countries or organization.
That are false allegations.
For the record WHO has no mandate to give order to any country, they are regulatory organization.

I dont do support them ..but it is not good to fire false allegations without concrete evidence.
 
Mkuu pamoja na kuwa wako lockdown na wanapima.kila Sikh unajua kwanini maambukizi hayaishi kila siku?
Tena maambukizi kwa watu wanaotumia Private cars!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupima hakuzuii maambukizi . Lengo la kupima ni tracing.
From tracing watalam wanajua nn cha kufanya.. wapi waongeze nguvu.. mbinu ipi inafaa.. kundi lipi liko vulnerable.. hapa wataalam ya virology wanapata info jinsi virus anavyo behave kwa watu tofauti.. mutation strains. Then wanarudi maambara na kuvimba kutafuta dawa.
Lockdown haikuwekwa kuzuia ugonjwa.. ni kupunguza kasi y maambukizi.
Ukaiachilia mbali na US. Ziko nchi zilizofanikiwa .
 
With all due respect i hate slave mentality. But i dont beleive uhuru kenyatta is leading kenya while taking orders from foreign countries or organization.
That are false allegations.
For the record WHO has no mandate to give order to any country, they are regulatory organization.

I dont do support them ..but it is not good to fire false allegations without concrete evidence.
Please accept my humble apology.
I may have gone too far to accuse H.E. President Uhuru Kenyatta for being a follower who takes instructions from abroad.

But I 'm not happy on how he handled COVID-19 pandemic, he looked like he was compelled to follow everything he is told by foreign institutions instead of customizing those procedures to suite Kenya's needs, Or discard entirely some of the procedures as they seem to cause trouble in his country's economy.
 
Please accept my humble apology.
I may have gone too far to accuse H.E. President Uhuru Kenyatta for being a follower who takes instructions from abroad.

But I 'm not happy on how he handled COVID-19 pandemic, he looked like he was compelled to follow everything he is told by foreign institutions instead of customizing those procedures to suite Kenya's needs, Or discard entirely some of the procedures as they seem to cause trouble in his country's economy.
I have completely understand your point of view bro.
And yes you may be have a point about him acting irrational and not customizing some of guidelines to fit kenyan condition.
Let me say most of african leaders reacted the same way,not only kenyans but also majority of african countries jumped to same path.
While few countries succeed, most of goverment in africa jumped to conclusion. It wasnt wise.

Thats why i asked before. If there is anybody with most effective way to combat covid-19 , a way thay is better than lockdown or other previous used methods.
He/She should share or take it goverment authorities so that they can implent it. Sadly no body appeared.
 
Upopo mbaya sana. Hivi na Corona hii watalii wenyewe wanaumwa kila nchi iko taabani halafu unaisema nchi yako eti wamesema nchi Hatari kutembelea hopeless kabisa.
Corona ipo kila nchi chukua taadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipojikosoa hufanikiwi,wanaofanikiwa wanajitadhmini wanaangalia walikofanikiwa wanaendeleza walipo shidwa wanaparekebisha .Unaacha kumpa ukweli rafiki yako kwa sababu ni rafiki Nchi yangu pale ambao haiendi sawa lazima nisema ukweli ili tuwe huru.Tanzania kwa sasa ni sehemu si salama kwa afya
 
Hujafiwa wewe zwazwa..kuna familia zimepoteza wapendwa wao wengi..acha kusifia ujinga
 
So, you think Tanzania needs approval from UK to decide what's best for the country?
We call it Slave mentality, or Neo-colonialism.

Magufuli leads because he is a Great Leader with original thoughts, Uhuru Kenyatta is a follower waiting for instruction from Washington DC, London and from WHO HQ.
You have not understood a word from my comments, i guess you are responding to someone else's comment.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya.

Pili, akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza ugonjwa huu.

Nchi jirani na wanasiasa wa hapa kwetu na baadhi ya viongozi wa dini a wanachi pingapinga wakabeza na kufuata ushoshoo wa ulaya kwamba raisi anashauli vitu vya hovyo, visivyo vya kitaalam.

Sasa wale waliokuwa wanashabikia majirani kuwa wanachukua hatua za kufunga baadhi ya maeneo au kuweka lockdown mkamsikilize Uhuru Kenyata, sasa kasalim amri na amewatangazia wanachi kuwa ataondoa masharti yote ya lockdown na watu waendelee kazi zao ila wachukue hatua za kujikinga.

Huku wagonjwa wakiongezeka kila siku na kufikia elfu moja na zaidi, Mamabukizi yanaongezeka masharti yanaondolewa sasa hapo maana yake nini?

Je, hasara kiasi gani wamepata kwa hizo lockdown na ugonjwa bado upo?

Viva Magufuli. Viva Tanzania kwa kupata raisi mwenye maono.
Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCM
 
Mass testing sio promo. Utajuaje behaviour ya ugonjwa bila mass testing, virus strains and different mutations, individual wanao develop anti-bodies? , infection effectiveness..
Mass testing hailengi tu kupata idadi ya watu walio athirika.. but ina mambo mengi ndani yake.
And please. Kwasababu sisi hatufanyi haimaanishi nchi zinazofanya ni wajinga.
Ni kwa sababu hiyo (nchi nyingine wanafanya) sisi tuwekeze zaidi kwenye kutest wenye dalili tu kwa resource tulizonazo! Kupata maambukizi haimaanishi ni kupata ugonjwa! Hiyo behaviour ya ugonjwa utaipata kwa wale wenye dalili!
 
For the record ? Unajua maana ya chanjo? Chanjo ipi tumeshawahi kutengeneza tz..? Chanjo ipi ambayo wataalam wetu wameshawahi kaa chini wakatumia utaalam wao kuja na chanjo?
Ulizia waliokutangulia pale ubungo maziwa/ mabibo vaccine center imepotelea wapi? Ndio utajua kama nchi hii haijawahi kutengeneza vaccine zake kwa matumizi ya watz!
Hii tz yenu kuna watu wameichelewesha sana kwa kupiga madili!
 
Kama kwa waganga wa kienyeji basi sawa, maana WHO ndio coordinator wa masuala ya afya duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo coordinator WHO amepatwa na kirus kinaitwa 'corruption' kinaongozwa na matakwa ya akina Bilgate et al, sio wataalamu wqnaoweka maslahi ya maisha ya watu mbele!
 
Back
Top Bottom