Mimi nashauri kwa vile yeye ni kipenzi cha watu basi tutumie ile mbinu ya Osare Otango itakayo mfanya wakati mwingine anaweza kupita mahali bila kuonekana. Au tumuulize mtoto wa shehe Yahaya jee ule ulinzi usioonekana hauwezi kupewa huyu mzee wetu? Wakipatikana majini kama ishirini hivi atakuwa salama kuliko hata yule wa Korea Kaskazini.
Kama wapo wanaohitaji ulinzi ni Watanzania wanaodai utawala bora unaozingatia sheria na kuheshimu Katiba. Watanzania tunahitaji maombi na ulinzi dhidi ya vitendo vya dikteta uchwara.Ili mpotee harakaharaka nyinyi wabnafsi
Tumkabidhi tu kwa Mungu huyu bwana! Maana kuna mbweha lukuki wanamtamania.
Sawa mkuu tumekuskiaNaviomba vyombo vya ulinzi nchini vimwongezee ulinzi rais Magufuli,apewe ulinzi mkali wa wanajeshi kutoka vikosi maalum waambatane naye popote anapokwenda kufanya ziara.
Hatua anazozichukua za kupambana na kila aina ya ufisadi dhidi ya fedha za umma na rasilimali za taifa zinaweletea maumivu baadhi ya watu,zinawafanya wapoteze ulaji waliouzowea,wanachukizwa na wanaweza kufanya lolote.
Tunaomba rais aimarishiwe ulinzi mzito.
Mkojo unao?Magufuli mwenyewe fisadi namba moja.
Magufuli mwenyewe fisadi namba moja.
Usifikiri uko mbali sana! Angalia usijepotea!!Magufuli mwenyewe fisadi namba moja.
Ninao wa kumkojolea mama yake atakayeniomba mdomoni.Mkojo unao?
Kwa nini nihitaji uthibitisho kwa kitu ambacho kina uthibitisho tayari?When it comes to JPM you become something else brother.
Angekuwa mtu mwingine ungemwambia athibitishe.
Nisijepotea wapi?Usifikiri uko mbali sana! Angalia usijepotea!!
Utapotea gizani kwa kuwa unaongea ya gizani..!!Nisijepotea wapi?
Angalia wewe usiwe ndiye uliyepotea katika pango la kiza ukiniasa mimi nisije potea.
Jenga hoja, usijenge hofu.