jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Hongera sana Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.Hujui kuwa 'Mbeleshi / Mbelgiji' mwenye Asili ya Mkoani Singida TAL ni Mtani wangu? Nisipomtania Yeye nimtanie nani? Hati yake anaipeleka lini?
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
Mchikichini kwa uswegeKiingereza chako umejifunzia wapi Mkuu?
Marekani kaleta balozi badala ya mwakilishi, kwa malikia nao wameleta balozi...uh, mrejesho wao nyumbani unaweza kuwa na kishindo mwaka huu.Naona waingeleza nao wameleta mwakilishi wao mbobevu......kweli uchaguzi huu unakwenda kuwa wa kihistoria.
Tofauti ya mwakilishi na balozi kamili ni ipi ?Naona waingeleza nao wameleta mwakilishi wao mbobevu......kweli uchaguzi huu unakwenda kuwa wa kihistoria.
Ni ujinga kusubiria ajira wakati Tz tuna aridhi ya kutosha. Watu masikini wa kutupwa duniani ni wale wanaodhani kujiliwa ni majibu ya matatizo Yao badala ya kujiajili. Great stupidity!Mi nimemaliza chuo 2011 wakati wa jk ajira zilikuwa za kumwaga ziwe za ualimu, polisi, jwtz au udaktari labda ukatae kuajiriwa mwenyewe! Lakini hili jamaa ndo limekuja kuharibu nchi Mambo hayaendi.
Kwani kulima kunahiyaji mpaka ufike chuo kikuu?Ni ujinga kusubiria ajira wakati Tz tuna aridhi ya kutosha. Watu masikini wa kutupwa duniani ni wale wanaodhani kujiliwa ni majibu ya matatizo Yao badala ya kujiajili. Great stupidity!
Umenichekesha asubuhi asubuhi!!! Ha ha ha haaa!Lissu atashindwa kama corona
kwani kufika Chuo Kikuu hadi uajiliwe? Unashindwa kujiajili?Kwani kulima kunahiyaji mpaka ufike chuo kikuu?
Nimekuuliza kulima Kuna hitaji mtu kufika chuokikuu? Jibu swali. Na kazi za kuajiliwa unataka afanye nani.kwani kufika Chuo Kikuu hadi uajiliwe? Unashindwa kujiajili?