BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Kwahiyo tukichaua mbeligiji ndiyo tutapata ajira?BUBERWA D.,
Kazi zipi unazozungumzia. Wakulima wanapumulia mashine, wafanya biashara wanapumulia mashine, wafanyakazi wanaumia kila kukicha, hamna ajira. Nani atampenda sasa