ShaKimpunda
Member
- May 11, 2017
- 28
- 12
Kwa TL hao ni mabeberu, kwa JPM hao ni washirika!!!! Unafiki gani huu??? Kwa faida ya nani hasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida wanalima na mbaazi pia Manyoni na Itigi kuna mashamba makubwa ya korosho baada ya miaka mitatu ijayo huenda maeneo hayo wakawa ndio wazalishaji wakubwa wa korosho kwasababu hali ya hewa ni nzuri na mashamba yanatunzwa kisasaNi kweli kaka yangu
Siasa ni sayansi bwashee!😂😂 Siasa hizi
Singida wanalima na mbaazi pia Manyoni na Itigi kuna mashamba makubwa ya korosho baada ya miaka mitatu ijayo huenda maeneo hayo wakawa ndio wazalishaji wakubwa wa korosho kwasababu hali ya hewa ni nzuri na mashamba yanatunzwa kisasa
Wewe umenichekesha sana😂😂😂😂😂😂Lissu atashindwa kama corona
Hii ni sawa na kulazimisha kulima apple🍎 Dar es salaam ili zisipositawi uilaumu serikali.Zao la mbaazi kwa ujumla. Nimetoa mfano tu singida mjini wanalima mbaazi sana tu
Sasa kama ni beberu unataka anyamaziwe, kwani sisi ni wakenya?Huyo wa Uingereza hamtamaliza huu mwezi bila kumuita beberu
unaonaje akikuoaMimi sina chama ila huyu Baba Magufuli Watanzania wanampenda sana.
unaonaje akikuoa
Umewauliza ndugu zako au watu wa karibu kama wanakuona bado una akili timamu? Mara nyingi watu wenye tatizo la afya ya akili, kila kitu wanakiona tofauti na wale wenye akili timamu.Niwie radhi kaka yangu mimi sipo kwenye mambo ya siasa
Ila kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mimi nimeleta maoni ya watu
ndo akuoe ili umwonyeshee hayo mahaba vizuriMbona umefika mbali kaka yangu
Kwani kuoa ni mbali mbona kawaida tu. Kwani we hujawahi kuolewa hata siku mojaMbona umefika mbali kaka yangu
Magufuli anaongea lugha gani na huyu beberu?
Nchi imependezaje wakati wananchi wanakufa njaa. Elimu haina maana tena ajira hakuna miaka mitano.Yaani hivi kweli Nchi imeanza kupendeza hivi eti muwape chadema watuharibie na warudishe mabeberu kutunyonya .Magu anashinda mchana kweupe na hata kama asingeshinda kuliko Nchi iendee kwa vichaa nikipata nafasi nakimbia na sanduku la kura.ushindi ni mapema kabisa!
Hata Marekani wanakufa njaa sasa ulitegemea Tundu Lissu ana maajabu gani?Nchi imependezaje wakati wananchi wanakufa njaa. Elimu haina maana tena ajira hakuna miaka mitano.
Hatutaki Marekani ije Tanzania hatuna sababu ya kufa njaa. Ajira kwanza midege baadaeHata Marekani wanakufa njaa sasa ulitegemea Tundu Lissu ana maajabu gani?
Anapendwa na wajinga.Mimi sina chama ila huyu Baba Magufuli Watanzania wanampenda sana.
We kima vijana gani uliowauliza? Wadogo zako nyumbani au?Niwie radhi kaka yangu mimi sipo kwenye mambo ya siasa
Ila kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mimi nimeleta maoni ya watu