bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Huo utamblisho tupeni sauti ya lugha tumsikie anavyo pasua yai mbona mnaficha ze yuzi to dai ni zisi liva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo fala kweli! Inategemeana na profession. Walimu wanakuwa trained kufindisha. Na madaktari kutibu. Mbona jk alimanage kuwaajili kwani hili li jpm limepatwa na nini. So aseme nchi imemshinda wachukue wanaoweza mithili ya jkKama unasubiri kuajiriwa kwenye karne hii ambapo benki zinaongeza ATM mashine zenye kupokea nakutoa pesa, mamlaka za maji zinaweka mita za maji kama zile za luku, Rwanda wametengeneza roboti za kuhudumia wagonjwa wa corona,nk, nk wewe ni KILAZA!
Subiri ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda kuna ajira kibao!Tutarudisha utaratibu ule wa jk wa kuajiri kila mwaka! Kuliko hili katili jpm
Mwalimu ataenda kufindisha bomba la mafuta, mbona huna akiri we kinana.Subiri ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda kuna ajira kibao!
Siku ukijifunza kuukubali ukweli hata kama unauma utakuwa umevuka hatua kubwa....mimi ni mtumishi, kuna siku tuliomba kuongezewa watumishi katika idara yetu kisa kuna "shortage" tuliambiwa tupeleke takwimu ya wateja tunaowahudumia kwa miezi mitatu, ajabu ilionekana kumbe hata watumishi waliopo wanazidi...mwakani naacha kazi kama unaweza njoo pm nikupe mchongo wa kuchukua nafasi yangu kama una vigezo! KUAJILIWA NI UTUMWA!We ndo fala kweli! Inategemeana na profession. Walimu wanakuwa trained kufindisha. Na madaktari kutibu. Mbona jk alimanage kuwaajili kwani hili li jpm limepatwa na nini. So aseme nchi imemshinda wachukue wanaoweza mithili ya jk
Watu wanasoma online wewe unakomalia ubao na chaki!Mwalimu ataenda kufindisha bomba la mafuta, mbona huna akiri we kinana.
Sasa we huioni tayari umezikusanya za kujiajiri. Fikiria anayemaliza Leo Hana hata elfu kumi mfukoni. Acha mawazo ya ubinafsi we dogoSiku ukijifunza kuukubali ukweli hata kama unauma utakuwa umevuka hatua kubwa....mimi ni mtumishi, kuna siku tuliomba kuongezewa watumishi katika idara yetu kisa kuna "shortage" tuliambiwa tupeleke takwimu ya wateja tunaowahudumia kwa miezi mitatu, ajabu ilionekana kumbe hata watumishi waliopo wanazidi...mwakani naacha kazi kama unaweza njoo pm nikupe mchongo wa kuchukua nafasi yangu kama una vigezo! KUAJILIWA NI UTUMWA!
Kwa hiyo unatetea asiajiri tena. Sasa Kuna haha ya kumrudisha madarakani kama tuna mtu anayeahidi kumrudisha heshima ya ajira kwa vijana!Watu wanasoma online wewe unakomalia ubao na chaki!
Nakaribia kuozesha mkuu, mimi sio dogo!Sasa we huioni tayari umezikusanya za kujiajiri. Fikiria anayemaliza Leo Hana hata elfu kumi mfukoni. Acha mawazo ya ubinafsi we dogo
Sasa mbona unawaombea wengine wasiajiriwe wakati we upiajiriwa. Acha usengeNakaribia kuozesha mkuu, mimi sio dogo!
Hata bi mdashi wako amependwa sana na watanzania kwani Kuna shida?Mimi sina chama ila huyu Baba Magufuli Watanzania wanampenda sana.
Lugha iliyotumika hapo maana naona mkalimani[emoji1]
Watakaowasilisha Hati zao za Utambulisho kwa Mamlaka hii leo ni
1. Bw. David William Concar, Uingereza
2. Bw. Muhammad Saleem, Pakistan
3. Bw. Didier Chassot, Uswisi ( Switzerland).
Maneno ya Balozi wa Uingereza
Mara baada ya kutoka kukabidhi hati ya Ubalozi balozi amesema anatumaini uchaguzi utakuwa huru na haki na utamalizika salama. Aliulizwa namna anavyoweza kuuzungumzia uchumi wa Tz amesema badi anajifunza lakini anaona sio mbaya kwa kuweka umeme kwenye vijiji na kujenga miundombinu kama barabara
Balozi wa Pakistan, amesema Tanzania ni nchi nzuri sio tu kwa sekta ya utalii bali pia kwa uwekezaji na sayansi, amesema ametembelea maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Kilimanjaro, nk na ameona ni nchi inayovutia sana
View attachment 1591143View attachment 1591144
Huoni mkalimani hapo[emoji1]Magufuli anaongea lugha gani na huyu beberu?
Kwani uwongo,mzungu ni beberu.Mzungu si mtu wa kuamini hata kidogo.Anae mkumbatia Mzungu ni kukosa kumbukumbu.Hawa jamaa wanafikiri wazungu wote hawajijui kwamba wanawaita Mabeberu!! yaani dume la Mbuzi kongwe siyo!!
Lissu kashindwa kutamalaki Ufipa, ndio atamalaki ikulu?. Unachekesha Sana, hapo mpaka mumtoe Mbowe ndio Chadema irudi kwenye ramani na kumtoa hamuwezi maana ndiye mwenye chama. Mtajuta.Sawa ni majukum ya mwishoni mwisho kabla bwana Lissu hajatamalaki
Mbona hata jpm anamwogopa lisu sasa. So alisema Hana haha ya kumpiga kampeni ameshapita. Mbona anahaha kuwatumia akina mahela wamsaidieLissu kashindwa kutamalaki Ufipa, ndio atamalaki ikulu?. Unachekesha Sana, hapo mpaka mumtoe Mbowe ndio Chadema irudi kwenye ramani na kumtoa hamuwezi maana ndiye mwenye chama. Mtajuta.
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.” ~ Malcolm XMimi sina chama ila huyu Baba Magufuli Watanzania wanampenda sana.
Kuna wakati unakuwa umevurugwa!