Rais Magufuli asikitishwa na vurugu za mechi ya Simba na Yanga,Sasa zazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Faini alipe j mlinzi wa Tff avune alichokipanda ni refa wake aliyomtoa kifungoni!
 
Ndo uchumi wa dunia ya 3 kaka..... hata serikali kuna mengi tu hawajatenda... tunashare kilichopo....
Uko sawa kabisa lakini naamini humaanishi ku-share na matokeo ya uhuni wa baadhi ya watu.Wakijitokeza wahuni tuna-share kuwaadhibu.Bado nasubiri adhabu ta tff kwa hizi timu.
 
Ivi wewe n sokwe au nyani??
 


Hapa ndipo ninapompendea Magufuli kwamba mapato yote yatazuiwa ili kurudisha gharama, hakika Pombe Magufuli (PhD) ameletwa na Mungu!
 
Timu za Yanga na Simba ni za ovyo sana. Miaka zaidi ya 50 hawana hata pitch ya mazoezi? Yaani zina fan base kubwa sana hata kwa Afrika Mashariki lakini lakini zinaendeshwa kama Toto Afrika au Mbao FC.
Hiyo iongezwe maana haitoshi.
 
Nashauri wanasimba au viongozi wa simba wasishtuke sana ikija madai makubwa ya marekebisho tuna haki ya kuomba third party valuer na kupata thamani halisi siyo ya kuletewa tu na wizara
 
 
Nashauri wanasimba au viongozi wa simba wasishtuke sana ikija madai makubwa ya marekebisho tuna haki ya kuomba third party valuer na kupata thamani halisi siyo ya kuletewa tu na wizara
Sawa
 

Kama ni kutangaza hizo timu nje ya nchi basi hayo ni matangazo gani yasoisha miaka nenda rudi?

Pili, si lazima wachezaji walipwe mapato yanayotokana na mechi kama ya jana, kwani huo utakuwa ni uswahili.

Tatu, inaonekana huelewi miongozo ya FIFA kwa vyama vya soka, kwani kilichofanyika ni kosa la jinai la uharibifu na hilo halihusiani na kwenda uwanjani kuangalia mpira.

Mkuu, usiwe mrahisi kiasi hicho hata kwa upumbavu huu ulofanywa na hawa wahuni.

Uamuzi wa kuzuia timu hizo zisitumie uwanja huo ni uamuzi sahihi na unawapa timu hizo changamoto kujenga viwanja vyao na zianze kujitegemea kimapato.

Pia, unatoa elimu kwa hao wapumbavu na malofa kuheshimu na kuthamini kila kizuri kinachofanywa na serikali.
 
Ivi wewe n sokwe au nyani??
Hehe sina tabia za kuvunja viti kisa mpira, mtu mzima ana akili ya kujua hivyo vitu viwili havina relationship yoyote ile, ila nyani hatambui yeye ni fujo tu.
 
Kwani wapi nimeonyesha urahisi? Napinga uharibifu wa Mali na ni lazima walipe gharama ila natoa tu angalizo kuwa mambo yasiende kama kule kwa kina Mushobozi.. Kulipa ni lazima ila kwa swala la tathimini ni siku moja tu na siku ya pili taratibu za kukatana mapato zinafuata.. Sio kufanya mchakato wa mamiezi tena.
 
Tuko wanachama tuko tiyari kuchangia pakubwa tu kwenye faini ya timu yetu pendwa mnyama ila kilichofanyika ni fundusho kwa upuuzi wa ma refarii
 

Manji na Dewji wajenge viwanja vya hizi timu ili kama wakivunja viti kwenye viwanja vyao, basi linakuwa ni suala lao wenyewe bila kuwahusisha watu wengine.

Hivi mkuu, unafikiri yule mkandarasi aliejenga huo uwanja na hata mabalozi wa nchi mbalimbali ambao wamekwenda kukaa pale uwanjani hivi sasa wanatufikiria vipi sisi waafrika?

Uvunje viti mara uvunje vyoo!
 
Badala ya kushughulika na chanzo cha tatizo, yeye anashughulikia matokeo ya tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…