Unazungukia kule kule tu. Magufuli aliukataa ulipoletwa kuidhinishwa, akaurudisha kwenye mchakato. Kikwete aliondoka kabla hajauidhinisha, yaani ukiwa bado kwenye mchakato. Kwa hiyo kumleta Kikwete kwenye jambo hilo ni kutafusa sababu za kulaumiana tu. Hata kama alikuwa ameshiriki hatua za awali, mambo yanayohusu mikataba ya ardhi ya Tanzania huidhinishwa na rais aliyeko madarakani!Magu yeye alitaka Jk alaumiwe aonekane alikuwa anauza nchi. Wakati Jk hakuusaini kwa sababu ulikuwa kwenye mchakato. Ndio maana Deus anasema hatujaukataa bali tumewapa nasisi masharti yetu tunawasubiri.
Jamani tuwekeeni mkataba mezani mezani, ili kila mtu ajisomee...msilete hearsay'... kazi iendelee.Kumekucha kumekucha, Yale Mashart ndani ya Mkataba wa bandari ya Bagamoyo ambayo hatujawai kuuona Mkataba zaidi ya kusimuliwa Sasa yanaelezwa hapa,
Mnakumbuka Hayati Magufuli akisema Ni kichaa pekee angeweza kuukubali Mkataba ule, lakin Ndugai akasema alipotoshwa,
Tuyapitie Mashart tuyaone,
Miaka 33 mingi sana ukizingatia on worst case scenario return on investment inarudi ndani ya miaka 15 na ikiwa mambo yameenda kama ilivyotarajiwa wanarudisha investment ndani ya miaka 10 tu.- Hao wachina wasanii sana, miaka 99 waendeshe huo mradi maana yake kuna kizazi cha watanzania kingepita bila kufaidi matunda ya huo mradi, wakati baada ya miaka 33 wangekuwa wameshapata faida.
- Bado wakataka wapunguziwe na bei ya baadhi ya vitu kwenye huo mradi kama maji, umeme, na gas, na zaidi biashara ikiwa mbaya wafidiwe.
- Kwenye ardhi badala ya mradi ndio upewe ardhi na ulipiwe land rent wachina wakata wasilipie, na bado wakata kuendesha biashara za hapo bandarini.
Kwa terms za aina hii ndio wakina Ndugai wanaupigia debe wanataka mradi urudishwe, kama sio wana maslahi binafsi hapa ni sababu gani nyingine waliyonayo? hawa wanasiasa hawana huruma kabisa na mtanzania, they are selfish more than the word itself.
Kama Kikwete angekuwa bado na muda wa kukaa madarakani angetekeleza huu mradi, bahati nzuri tu muda wake ulikwisha, lakini nia ya kutunyonya watanzania tayari alikuwa nayo, kwa hili hakwepi lawama.
Hili liwe fundisho sasa hii miradi mikubwa yote mikataba yake iwekwe wazi kila mtanzania aijue kabla haijaanza kutekelezwa, wanasiasa wasituamulie hatma yetu kwenye kila kitu watatuangamiza.
Bado una hamu ya kuendelea kubembelezana na hao wanyonyaji? hii unayoonesha hapa ni mental slavery, you need to emancipate yourself.Sio mradi ulejeshwe bali wawekezaji warudi tuendelee kubargain kwa terms zinazotufaidisha sote.
Halafu kuna wajinga hapa wanakwambia wachina warudi tukae nao chini, akili za namna hii ndio wakina Ndugai wanazipenda, mimi sitaki hata kuwaona hao wachina kwa hizo terms zao walitudharau sana, walitaka kuigeuza Tanzania iwe na mkoa wa wachina waendeshe biashara zao and eveything, kama ambavyo imetokea Djibouti.Miaka 33 mingi sana on worst case scenario return on investment inarudi ndani ya miaka 15 na ikiwa mambo yameenda kama ilivyotarajiwa wanarudisha investment ndani ya miaka kumi.
So katika miaka 33 wanaweza rudisha hela yao na kuvuna ziada kati ya $12-24 billion extra.
Hiyo aiwatoshi wanataka 99 years. Bado na hiyo sehemu iwe kama ardhi ya China ndani ya muda wa kumkataba wajiamulie wao na kodi wasilipe kabisa.
Ni proposal ambayo alitakiwa arushiwe usoni raisi wao kwa hasira papo hapo what do they take us for.
Mkataba uwekwe hadharani wote tuusome na tuujueKumekucha kumekucha, Yale Mashart ndani ya Mkataba wa bandari ya Bagamoyo ambayo hatujawai kuuona Mkataba zaidi ya kusimuliwa Sasa yanaelezwa hapa,
Mnakumbuka Hayati Magufuli akisema Ni kichaa pekee angeweza kuukubali Mkataba ule, lakin Ndugai akasema alipotoshwa,
Tuyapitie Mashart tuyaone,
I agree na huyo Kakoko is not ignorant he is very smart and realistic ya kwamba ipo siku sometime in 15-20 years kwa eneo la Dar bandari itafikia saturation point so they need another long term port plan.Halafu kuna wajinga hapa wanakwambia wachina warudi tukae nao chini, akili za namna hii ndio wakina Ndugai wanazipenda, mimi sitaki hata kuwaona hao wachina kwa hizo terms zao walitudharau sana, walitaka kuigeuza Tanzania iwe na mkoa wa wachina waendeshe biashara zao and eveything, kama ambavyo imetokea Djibouti.
Nimependa hapo alipoelezea sio kwamba hiyo bandari ya Bagamoyo itakuja kushindana na hii ya Dsm, bali hii ya Dsm inaelekea kuzeeka kwa maana kwamba muda utafika haitakuwa na eneo tena la kujiongeza kwa ajili ya kukidhi mahitaji, ndio maana wakata ya Bagamoyo iwepo, lakini sio kwa terms hizo za mchina huo ni utapeli walitaka kutuletea, ndio maana haya mataifa yanaendelea kwa kusaini mikataba ya ajabu kama hiyo na wajinga wengine duniani.I agree na huyo Kakoko is not ignorant he is very smart and realistic ya kwamba ipo siku sometime in 15-20 years kwa eneo la Dar bandari itafikia saturation point so they need another long term port plan.
Lakini si kujenga kwa proposal ya mchina kama ilivyo. Vinginevyo huo uwekezaji ufanywe na serikali yenyewe and it’s within their means I totally I agree with him.
Hapo hakuna cha ku negotiate zaidi ya kuwataka wachina kwenda TIC kuwekeza kwa masharti ya Tanzania kwenye ivyo viwanda; ila proposal ya bandari on its own should be scrapped entirely.
Jameni, mbona hakuna mkataba? Nani kaona au kasikia mkataba katika maelezo hayo?Yale Mashart ndani ya Mkataba wa bandari ya Bagamoyo ambayo hatujawai kuuona Mkataba zaidi ya kusimuliwa Sasa yanaelezwa hapa,
Atapitishaje mapendekezo ya upande mmoja, hata kabla ya 'counter proposal'?Hakusema hivyo mzee, alikataa kuupitisha
Hapa ni swala la Tanzania na hao wawekezaji; Tanzania ndiyo iliyokataa mapendekezo ya wawezekezaji kuwa hayakulingana na interest za Tanzania, je kuna upande gani mwingine ambao Tanzania ilitakiwa kusikiliza tena kabla ya kutoa uamuzi?Atapitishaje mapendekezo ya upande mmoja, hata kabla ya 'counter proposal'?
Haya ndiyo maajabu ya nchi hii.
Hapa hapakuwepo na mkataba wa kupitisha au kukataa, ni mapendekezo tu ya upande mmoja wa wachina. Tanzania haijajibu lolote juu ya mapendekezo hayo na kuwasilisha majibu yao kwa wachina wayaangalie.
Huu ndio ukweli uliousema hapa.Magu yeye alitaka Jk alaumiwe aonekane alikuwa anauza nchi. Wakati Jk hakuusaini kwa sababu ulikuwa kwenye mchakato. Ndio maana Deus anasema hatujaukataa bali tumewapa nasisi masharti yetu tunawasubiri.
Kwa hiyo yalikuwa ni "Mapendekezo" sio "Mkataba" kama inavyodaiwa kila sehemu hapa.Hapa ni swala la Tanzania na hao wawekezaji; Tanzania ndiyo iliyokataa mapendekezo ya wawezekezaji kuwa hayakulingana na interest za Tanzania, je kuna upande gani mwingine ambao Tanzania ilitakiwa kusikiliza tena kabla ya kutoa uamuzi?
Kwani huo wa bandari ya Bagamoyo umewekwa wazi ?- Hao wachina wasanii sana, miaka 99 waendeshe huo mradi maana yake kuna kizazi cha watanzania kingepita bila kufaidi matunda ya huo mradi, wakati baada ya miaka 33 wangekuwa wameshapata faida.
- Bado wakataka wapunguziwe na bei ya baadhi ya vitu kwenye huo mradi kama maji, umeme, na gas, na zaidi biashara ikiwa mbaya wafidiwe.
- Kwenye ardhi badala ya mradi ndio upewe ardhi na ulipiwe land rent wachina wakata wasilipie, na bado wakata kuendesha biashara za hapo bandarini.
Kwa terms za aina hii ndio wakina Ndugai wanaupigia debe wanataka mradi urudishwe, kama sio wana maslahi binafsi hapa ni sababu gani nyingine waliyonayo? hawa wanasiasa hawana huruma kabisa na mtanzania, they are selfish more than the word itself.
Kama Kikwete angekuwa bado na muda wa kukaa madarakani angetekeleza huu mradi, bahati nzuri tu muda wake ulikwisha, lakini nia ya kutunyonya watanzania tayari alikuwa nayo, kwa hili hakwepi lawama.
Hili liwe fundisho sasa hii miradi mikubwa yote mikataba yake iwekwe wazi kila mtanzania aijue kabla haijaanza kutekelezwa, wanasiasa wasituamulie hatma yetu kwenye kila kitu watatuangamiza.
Semantics tu za kutokukukubali facts; ni mapendekezo ya kuweka mkataba! Magufuli hakufuta mkataba bali alikaa kuingia mkataba huo kwa mapendekezo hayo.Kwa hiyo yalikuwa ni "Mapendekezo" sio "Mkataba" kama inavyodaiwa kila sehemu hapa.
Ndiyo, Tanzania ilikuwa na haki ya kukataa mapendekezo ya mwekezaji; lakini si katika kuwasilisha mapendekezo kuna majadiliano, au hakuna? Unaletewa mapendekezo, unayakataa hata kabla ya kuyajadili na kutoa maoni ya upande wako ili mwekezaji naye aelewe unasimamia wapi?
Ningekuelewa kama ungesema umeuina huo mkataba na kuusoma na hayo ndiyo mashariti yake. Lakini habari ya kusema Magufuli kasema huwezi kunishawishi niamini kuwa huo ndio ukweli.
RAIS John Magufuli amesema sababu kubwa ya kusitishwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni masharti magumu yaliyomo katika mkataba wa utekelezaji wa kazi hiyo.
Jiwe la msingi la ujenzi wa bandari hiyo liliwekwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2015 na ulitarajiwa kugharimu dola za Marekani bilioni 10. Bandari hiyo endapo ingejengwa ingekuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki ikiwa na ukubwa wa ekari 3,000 na viwanda 190 vingejengwa.
Akizungumza jana kwenye mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliowashirikisha wafanyabishara kutoka wilaya 139 nchini, Rais Magufuli aliweka wazi sababu za kusitishwa kwa ujenzi wa bandari hiyo. Rais Magufuli alisema “kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo”. Rais Magufuli alisema mojawapo ya masharti ni kutojengwa wala kuendelezwa kwa bandari yoyote kuanzia eneo la Tanga hadi Mtwara.
"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge," alisema Rais Magufuli
Pia alisema wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuuliza nani anamiliki eneo hilo. Rais Magufuli alisema sharti lingine ni gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo kutakiwa kurejeshwa.
Soma pia:
Bandari ya Bagamoyo: Je, sababu alizotoa Rais Magufuli ni za kweli?. Je, haya mazungumzo ni ya nini tena kama wameachana na mradi huo? - JamiiForums
Kaka hawa jamaa ni wapuuzi sana.Ila hujiulizi nani alikuwa waziri wako wa ujenzi wakati president kikwete anaweka jiwe hili la msingi,why hawaku rise hizi issue?,uoga wao na njaa ya matumbo yao wakawa kimya kulinda vibarua vyao na sasa wanataka kujifanya ni mashujaa,politics za kinafiki zitatuumiza sana nchi hii ,na tukitukanwa kwa kuitwa pithole country tunachukia wakati ndio ukweli wenyewe.
Walichotaka kukifanya wachina kwetu ni kama kile walichofanya uingereza kwa mchina kukodi mji wa hongkong uwe chini yao kwa muda wa miaka 99 kama sikosei.....
Mataifa yanauza vipande vya ardhi so usishangae kusikia kuna mataifa wachina wanadominate eneo au bandari au airport, yale ni matokeo ya kukodi au kulinunua hilo eneo. Miaka 99 kukodi eneo ni investment nzuri sana ambayo inamfaidisha zaidi yule anaekodishwa na sie anaekodi.....
Ni vema kabla ya kushabikia haya mambo basi tujifunze kwanza kwa kuingia maktaba na hata kutafiti kutoka kwa wenzetu yaliyowakuta tutaelewa.